Halloween Costume ideas 2015
Latest Post

 



Jina la hadithi: SHANGAZI

Sehemu ya : TISA

Mwandishi. : Aslam Khan

Mawasiliano : 0787 378 393

: 0768 965 020

: 0627 676 104

 

Ilipoishia….

 

Kutokana na msisimko ambao niliupata, uume wangu ulikuwa umesimama vilivyo kiasi cha kuanza kutoa ute ute, ila sio manii. Shangazi aliponikalia, nae kumbe alikuwa na nyege sana na alishapata msisimko mkubwa, uke ukawa umeregea kabisa. Ni mvuke wa moto tu ndio uliokuwa unatoka na majimaji ila sio ya bomba. Aliponikalia, hakukuwa na mlango uliofungwa, funguo zilikuwa zimepotea, milango yote ilikuwa ipo wazi. Mkuki ulizama moja kwa moja katika uke wake na vile ndo hakukuwa na bughudha ya nyasi nyasi, ndo kabisa. Uume ukazama…ukazama….ukazama woooooooooooteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee…….

 

Songa nayo….

 

Kutokana na joto kubwa lililokuwa limetawaliwa na mvuke, nilijikuta ninasisimka sana na kuikaza miguu yangu kama mtu anayeumwa pepopunda. Sikuwa na namna zaidi ya kuonyesha ushirikiano kwani ndio ilikuwa ni mara yangu ya pili kukutana kimapenzi na mwanamke.kwa sababu nilikuwa nimelala chali, niliinuka na kumshika shangazi kiunoni huku midomo yangu ikiwa shingoni kwake. Nilitembeza mdomo yangu ikiwa ni pamoja na kumlamba lamba shingoni na kumng’ata ng’ata katika shingo, nikiifuata mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye ubongo, shangazi alionekana kusisimka sana kwani ndipo alivyokuwa anaongeza kasi huku kiuno chake kikizunguka kama feni. Nilipandisha mikono yangu mpaka juu, kwenye mgongo wake laini huku nikimpapasa kiufundi kwa kumfinya finya kidogo hali iliyoonekana kuzidi kumchanganya shangazi. Nilihamishia mkono mmoja katika kifua chake na kuzikandamiza chuchu zake kuelekea kifuani kwake na kuzipekecha kama namenya karanga zilizokaangwa.

“Ooooh…..shhhhshshhhh abd….am……kwa….kwa…..kwa….ni…ni….lak…..ini….ooohhh…aaaaaah” yalikuwa ni maneno ya shangazi yaliyokuwa yanajirudia rudia. Shangazi alionekana kuukosa mchezo kwa siku nyingi, ila alikuwa fundi sana. Nilirudisha mikono yangu nyuma ya mgongo wake ili nipate balance na kushusha kichwa changu katika kifua chake. Shangazi alinishika shingoni ili apate balance asidondoke chini. Nilianza kula chakula cha mtoto. Kwanza nilitumia ulimi kuzilamba koni za bakhresa zilizotengenezwa kwa ustadi wa hali ya juu sana.

“Ooooh…..shhhhshshhhh abd….am……kwa….kwa…..kwa….ni…ni….lak…..ini….ooohhh…aaaaaah” yalikuwa ndio maneno ninayoyasikia kutoka mdomoni kwa shangazi. Nikaamua kula kweli chakula cha mtoto, sio kula kwa kudanganya, bali kula kweli, kwani nilinyonya kama mtoto kiasi nilihisi vitu mithili ya maji maji vikiwa vimetoka na kuingia mdomoni kwangu. Shangazi alizidi kutoa mayowe ya kimahaba kutokana na raha aliyokuwa anaipata. Alizidi kuushindilia uume wangu ndani zaidi ya pango lenye giza huku likitawaliwa na joto na mvuke uliosababisha kuwepo kwa unyevunyevu.

“Aaaaaaaaaagggggghhhhh…” Nilijikuta mtoto wa kiume napiga kelele bila kutegemea mara baada ya kuona pumzi zimebana na kufungua mdomo ili nipumulie kwenye mdomo. Shangazi alizidisha kasi…alizidisha……alizidisha……alizidisha. Baada ya kuzidisha kasi kwa muda kama dakika kumi hivi, nilihisi misuli ya uke wake ikiwa inaubana uume wangu na kuachia…inabana…..inaachia….inabana….inaachia. Hali hiyo ilinifanya nizidi kusisimka na kuhisi kama makalio yangu yanataka kubana na kuachia… Shangazi aliongeza kasi huku uke wake ukiwa unaubana uume wangu na kuachia. Nilijikuta nikiwa kama mtu ninayeanza kupandisha mlima taratibu huku nikihisi uume wangu ukiwa unazidi kukakamaa na kuwa mgumu zaidi. Baada ya kupanda mlima kwa muda, sasa nilijikuta kama tayari nilishafika kileleni, na hapo ndipo niliposikia raha sana, nilianza kushuka kwa kustua stua. Nilifika mwisho na shahawa zilizochanganyika na mbegu za uzazi zilinitoka na kuigia katika uke wa shangazi.

“Aaaaaaaaaahaaaaaghhhhh” yalikuwa ndio maneno yaliyotoka nilipofungua mdomo na kuuacha wazi ili hewa ipite vizuri katika mapafu yangu.

“Oooohhshhhhh….. Hivyo hivyo….. Nimwagie yoteeeeeeeeeeeeee, aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah” alisema shangazi na kuitoa mikono yake shingoni kwangu kisha akadondokea kitandani. Na mimi tayari nilishaushusha mzigo na kujikuta nikiwa mwepesi kabisa. Shangazi alijivuta na kuja upande niliokuwa nimeweka kichwa huku akiukunja mguu wake na kuuweka katika uume wangu. Paja lake laini lilipougusa uume wangu nilihisi kama uume unataka kusimama tena.

“Ahsante sana Abdam!” Alisema shangazi.

“Sawa!”

“Unajua kwa siku nyingi sana nilikuwa sijainjoi (enjoy) penzi, kwa hakika leo umenifanya nijisikie mtu mpya kabisa, nimekuwa mwepesi sana na akili yangu imekuwa sawa!”

“Aaah kwa nini!”

“Mjomba wako nae, umalaya mwingi. Anaenda huko kutembea na wanawake na kusahau kubakisha kiasi kidogo cha nyege ili aje tumalizane huku nyumbani, yeye anamaliza kila kitu huko huko!”

“Mhhh…!” Niliguna tu.

“Sasa, kwa nini ulikuwa unanibania eti Abdam?” Shangazi aliniuliza huku akinishika sehemu mbali mbali za mwili wangu kuanzia kifuani, tumboni ambapo alipofika tumboni nilipata msisimko mpaka mkuki ukanyanyuka na kulala tena. Shangazi aliliona hilo na akawa anachezea zaidi katika maeneo hayo, tumboni, kitovuni mpaka chini ya kitovu. Nilizidi kusisimka.

“Shangazi mimi naogopa!” Nilisema

“Utaogopa vingapi wewe?” Aliniuliza huku akiongeza ufundi katika kunipapasa. Alishuka mpaka katika uume wangu na kuuchezea kichwa laini kisichokuwa na govi.

“Mmmmmh!” Badala ya kujibu swali lake, niliishia nikiguna tu kutokana na raha niliyokuwa ninaipata kutokana na ufundi wa shangazi. Aligeuka kwa haraka na kuichukua pipi ya kijiti na kuanza kuimung’unya. Maajabu ni kuwa, badala ya kunyonya pipi, yeye alikuwa akinyonya kijiti chake. Nilipata msisimko wa ajabu. Alirudi katika kichwa changu na kunipatia midomo yake iliyokuwa na steki nyingi kuliko mifupa. Niliishambulia kwa roho mbaya huku nikimsikia shangazi akianza kutoa sauti za kimahaba kwa chini chini. Niliinua mkono wangu na kumpapasa katika tumbo lake na kuelekea chini ya kitovu nikiwa nimelenga mwisho wa safari yangu iwe kwenye uke wake. Shangazi alinishika mkono.

“Ukijisikia kama hivi, muda wowote, siku yeyote, njoo uniombe tu. Siku zote nitakupatia!” Alisema shangazi huku akinibusu katika paji la uso.

“Mjomba akirudi je?” Niliuliza.

“Nitajua mimi nitafanyaje, ila lazima nitahakikisha nakuridhisha kwa sababu najua maumivu ya nyege. Kwa sababu wewe umenifanya niridhike, nami sina budi kulipa fadhila, nitakuridhisha tu kwa njia yeyote ile na ugumu wowote ule, hiyo ndo ahadi yangu ninayokupatia Abdam, nakupenda sana!” Alisema shangazi huku akiwa ananilamba lamba kifuani kwa ustadi. Aliunyoosha mkono wake na kuanza kupiga jeki katika uume wangu. Mwili wake laini, kadri ulivyokuwa unanigusa, ndivyo nilivyokuwa ninamtamani shangazi kiukweli kweli. Nilimshangaa mjomba kwa nini anamtesa shangazi, mwanamke kama huyu mithili ya kuku wa kisasa, wengine wanasema wa madoli na wengine broiler kuku ambao unaweza ukaacha kula manyoya, kucha na kinyesi tu. Ila vyote vilivyokuwepo ndani unaweza kula bila ya kutupa chochote kile, kuanzia nyama, maini, mafirigisi hadi mifupa. Niliamua kumuonyesha kazi shangazi kuwa na mimi nina ufundi nilioupata veta. Niliamua kula rasmi penzi kutoka kwa shangazi, kwani tayari nilikuwa ninalitamani sana. Kwa hiyari yangu sasa, nikawa nataka kulifaidi, nitaachaje kwa mfano. Sio kwa mwanamke kama huyu, SHANGAZI.

 

Je nini kitaendelea? Na je lengo lake la kula nyama mpaka mifupa litafanikiwa? Usikose sehemu inayofuata ili kupata majibu yake.

 


 




Jina la hadithi: SHANGAZI

Sehemu ya    : NANE(8)

Mwandishi     : Aslam Khan

Mawasiliano  : 0787 378 393

                        0627 676 104

                        0768 965 020

 

Ilipoishia....

 

Wakati huo nilikuwa tayari nimeshamaliza kula. Nilimuuliza shangazi wapi vinapowekwa vyombo vichafu.

"Hamna, wewe viache tu hapa, nitavitoa!"

"Sawa, basi mimi naenda kupumzika shangazi!"

"Heee na wewe, upo kama mjomba 'ako?"

"Kwa nini?"

"Mjomba wako na yeye ndo hivyo hivyo, akimaliza kula tu, ananiacha peke yangu!"

"Kumbe ndo tabia yake eeeeh!" Nilitania

" tabia yake au tabia yenu, ukoo wenu!"

"Basi mimi nitakusubiria mpaka nitapohakikisha unazima hadi taa zote za sebuleni!"

"Unaweza?"

"Ndio naweza, subiri uone!"

 

Songa nayo......

 

"Haya ndo nasubiria nione!" Alisema shangazi huku akiwa anakula taratibu sana kama mtu aliyekuwa anajilazimisha kula. Alikuwa akiniangalia kwa macho ya kuibia ibia. Pindi macho yetu yalivyokuwa yanagongana, shangazi alikuwa akiinama na kucheka kwa chini chini. Alitumia dakika ishirini kumaliza chakula huku nikiwa nipo pale sebuleni nikimsubiria. Aliondoa vyombo vyote vilivyokuwepo mezani na kuvipeleka jikoni. Alirudi sebuleni na kusafisha meza.

"Si tayari hapo, mimi naenda kulala basi!" Nilisema.

"Wewe hauoni joto hili, unafikiri utaweza kulala kweli, nenda kaoge kwanza kisha utaenda kulala!"

"Sawa shangazi!" Nilijibu na kuingia chumbani kwangu huku nikimuacha shangazi akiingia chumbani kwake. Kwa sababu ilikuwa ni usiku na taa chumbani zilikuwa hazijawashwa, nilivua nguo zangu zote bila ya kufunga chumba. Nilichukua taulo na kwenda bafuni kuoga. Nilipomaliza, niliingia chumbani kwangu na kuufunga mlango kwa kutumia funguo na kitasa kidogo. Nilitoa taulo na kujifuta maji vizuri huku nimejiachia nikiwa sina shaka yeyote. Nilienda kukunjua panzia dirishani ili nikawashe taa. Kabla sijaenda kuwasha taa, nilienda karibu na kitanda ili kuweka taulo kisha nikawashe taa. Nilipokaribia kitandani, ndipo nilipogongana na mtu na kujikuta wote tukiangukia kitandani. Alikuwa ni mwanamke. Niliogopa sana. Nilikimbilia swichi ili niwashe taa nijue ni nani aliyeingia chumbani kwangu. Kabla sijawahi kuwasha, yule mtu alinizuia

"Hapana Abdam, usifanye hivyo!" Ilikuwa ni sauti ya shangazi

"Shangazi!" Nilistuka huku nikijawa na mshangao. Hakujibu, badala yake alinikumbatia, kwa nguvu. Shangazi alikuwa mtupu kabisa, kwani kanga yake ilikuwa imedondoka chini. Nilijikuta ninasisimka sana hasa baada ya kukumbatiwa na mwanamke mwenye joto hasa, joto lisilounguza. Joto tamu. Joto la kumtoa nyoka pangoni.

"Shangazi, unafanya nini humu?" Niliuliza swali ambalo halikuwa na majibu. Shangazi alizidi kunikumbatia kwa nguvu huku akinishika sehemu mbali mbali za mwili wangu. Kwa kweli nilisisimka sana. Na kwa sababu nilikuwa ni mwanaume niliyekamilika, tayari mkuki ulishaanza kusimama tayari kwa mawindo sijui katika vichaka au jangwani. Chuchu zake zilizokuwa zimesimama kwa nyege, zilinichoma na kuniongezea msisimko mara dufu. Nilijaribu kumtoa shangazi manake tayari akili yangu ilishaanza kuruka na kutamani penzi lake, shangazi alikuwa amening'ang'ania na taratibu aligundua kitu. Aligundua kuwa mkuki tayari ulikuwa umefura kwa hasira, alianza kupeleka mkono kwenye uume wangu. Alipoushika, kutokana na joto katika mikono yake, nilijikuta napata msisimko kuanzia miguuni mpaka kichwani huku nikihisi kama nywele zinatembea vile. Nilipoona hivyo, nilijua mambo yanaweza kuharibika, hivyo ikabidi nitumie nguvu kama mwanaume ili kumuondoa shangazi  katika mwili wangu. Nilimsukuma kwa nguvu na kudondoka sakafuni.

"Yalaaaa!" Alisikika shangazi akilalamika kwa maumivu. Nilibakia ninamuangalia tu na kusahau kama pale nilikuwa nipo mtupu.

"Abdam unaniua!" Alisema shangazi huku akiwa amejishika kichwani. Nilimuangalia kwa makini, kweli ilikuwa inaonyesha kama ameumia vile. Nilimfuata pale chini na kumpa mkono nili anyanyuke.

"Siwezi kunyanyuka Abdam, kichwa kinaniuma!" Alisema shangazi.

Ilibidi nimsaidie. Nilienda nyuma yake na kumshika kiunoni na kumnyanyua. Hali ile ilifanya uume wake uingie katikati ya mapaja yake na kunifanya nihisi joto na mvuke kutoka katika sehemu zake za siri. Mara aliposimama, nilitoka nyuma yake ili nisilete matatizo zaidi. Hali ilikuwa ni mbaya sana kwangu, ila nilijikaza kiume. Nilichukua mkono wake na kuuweka begani kwangu, kisha nilimshika kiunoni ili kumpeleka chumbani kwake. Kila nilipokuwa ninamshika au ngozi zetu kugusana, shangazi alikuwa anatoa sauti za mahaba kuashiria kama ni mtu ambaye hajapata penzi kwa siku nyingi.

"Niwashie taa hapo!" Alisema shangazi kwa sauti ndogo mara baada ya kumfikisha chumbani kwake

"Shangazi, mimi sina nguo hapa, kwa hiyo nikiwasha taa si utaniona lakini!" Nilisema

"Hapana, sikuangalii!"

Nilienda kuwasha taa na kumuona shangazi akiwa amenikodolea macho kiukweli alikuwa mrembo sana. Kumucha salama ni sawa na mtu aliye na njaa ya muda mrefu kisha akaletewa mnofu wa kuku wa kisasa harafu akauangalia tu bila ya kuula wakati uwezo wa kula mpaka mifupa upo.

"Mimi naenda kulala shangazi, samahani kwa kukusababishia maumivu!"

"Usijali, lakini hivi kweli haujisikii, mbona unanifanyia hivi lakini Abdam, yaani ninajidhalilisha kwako lakini haunijali kweli?" Shangazi alikuwa alilalamika kwa sauti ya kubembeleza, ya upole yenye kuvutia. Sauti ambayo kwa mtu asiye sawa, akiisikia tu, shahawa nitaanza kumtoka bila ya mpangilio.

"Shangazi, lakini wewe ni mali ya mjomba, mimi sina haki hiyo!"

"Haki...haki gani, haki gani unayoisema wewe?,....unajua sijafanya kwa muda gani wewe, halafu eti haki...haki... Ungejua usingesema hayo, sasa leo hauondoki hapa!" Shangazi alisema na kuinuka mithili ya faru aliyefura kwa hasira na kunishika kiunoni na kunikumbatia. Nilisisimka kupita kiasi. Nilijitahidi kumtoa lakini muda huu alikuwa na nguvu sana mpaka nikashangaa alipozitolea. Nilipokuwa katika harakati za kujitoa, nilikosa balance na kujikuta nimeangukia kitandani. Kwa mwendo wa flash, shangazi alinikalia juu ya kiuno changu. Kutokana na msisimko ambao niliupata, uume wangu ulikuwa umesimama vilivyo kiasi cha kuanza kutoa ute ute, ila sio manii. Shangazi aliponikalia, nae kumbe alikuwa na nyege sana na alishapata msisimko mkubwa, uke ukawa umeregea kabisa. Ni mvuke wa moto tu ndio uliokuwa unatoka na majimaji ila sio ya bomba. Aliponikalia, hakukuwa na mlango uliofungwa, funguo zilikuwa zimepotea, milango yote ilikuwa ipo wazi. Mkuki ulizama moja kwa moja katika uke wake na vile ndo hakukuwa na bughudha ya nyasi nyasi, ndo kabisa. Uume ukazama...ukazama....ukazama woooooooooooteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee........

 

Kitu gani kilichoendelea....

Usikose sehemu inayofuata

 



 


Sehemu ya    : SABA (7)

Mwandishi     : Aslam Khan

Mawasiliano  : 0627 676 104

                        0787 378 393

                        0768 965 020

 

Ilipoishia...

 

"Mmh shangazi itakuwa amelala labda!" Nilijisemea kimoyo moyo.

Nilirudi chumbani kwangu na kuvua nguo zangu, na kuchukua taulo kwa ajili ya kwenda kuoga wakati huo haja ndogo ilikuwa imenibana sana nusu ya kutoka yenyewe. Nilikimbilia bafuni ili kuwahi kabla sijadhalilika kwa kujikojolea mtu mzima. Nilifungua mlango wa bafu na kwa haraka nikaingia ndani huku nikiwa tayari nimeshaanza kuushika uume nje ambao ulikuwa tayari umeshaanza kutoa haja ndogo kabla sijafika katika eneo maalum. Nilipoingia bafuni, ndipo haja ndogo ilipoacha kutoka kutokana na mstuko nilioupata. Nilimkuta shangazi akiwa uchi kabisa akiwa anajiandaa kuoga. Niliduwaa, wote tulikuwa kama watu tuliopigwa na shoti, tulibaki tukitazamana kwa muda tukiwa uchi kabisa.

 

Songa nayo...

 

Baada ya kutazamana kwa sekunde kadhaa huku kila mmoja akiwa hajui cha kufanya, shangazi alichukua khanga na kuifunga kiunoni kisha akachukua nguo zake nyengine na kuondoka kuelekea nje pasi na kuongea kitu chochote kile. Nilibakia kule bafuni nikiwa nina waza kile kilichotokea nikiwa natamani nifumbue macho ili iwe ndoto. Baada ya kuwaza kwa muda, niliona hakuna kitu kitakachobadilika, hivyo bora nioge tu. Nilioga huku nikiwa nimejawa na mawazo lukuki. Nilipomaliza kuoga, nilienda chumbani kwangu moja kwa moja na kuvaa nguo zangu kisha kwenda sebuleni. Nilipofika sebuleni, nilimkuta shangazi akiwa amekaa, kitendo cha kufika pale sebuleni, kilimstua shangazi ambaye alionekana kuwa katika dimbwi zito la mawazo. Aliniangalia ila hakunisemesha chochote, kisha akageukia kando kwa aibu. Nikiwa nimejawa na woga, nilikaa katika moja ya viti vilivyokuwepo pale sebuleni nikiwa nina nia ya kuomba msamaha kwa shangazi.

"Shangazi, samahani" nilisema kwa woga ulioambatana na aibu. Shangazi aliinamisha macho yake chini kwa aibu huku akitabasamu na kicheko kilichokuwa kama kinakuja, kinakataa kwa mbali.

"Shangazi nimekosa, tafadhali nisamehe!" Niliendelea kuomba msamaha hali iliyomfanya shangazi kuinua kichwa na kuniangalia. Macho yetu yaligongana na kumfanya shangazi aangue kicheko kilichotawaliwa na aibu. Aliinuka kutoka katika kiti na kwenda moja kwa moja chumbani kwake bila ya kujibu wala kuongea kitu chochote. Nilikaa sebuleni kwa muda nikitafakari kuhusu alichofanya shangazi, kisha niliamua kwenda chumbani kwangu kupumzika, ili kama mawazo bora nikaendelee nayo huko. Baadae nilistushwa na kelele za mlango uliotii amri pale ulipokuwa unagongwa. Nilipoangalia saa ilikuwa ni saa nne kasoro robo. Nilienda kufungua mlango na nikakautana na shangazi ana kwa ana.

"Chakula tayari!" Alisema shangazi huku akiwa ameinamisha macho chini.

"Sawa, nakuja!" Nilimjibu na kuufunga mlango kwa niaba ya kwenda kuongeza nguo nyengine kwani pale nilikuwa na bukta tu pekee. Shangazi alinizuia nisifunge mlango.

"Vipi shangazi?" Nilimuuliza

"Mmmhhmmhh...!" Alikataa kwa kuguna huku akitingisha kichwa na kuondoka. Nilivaa suruali yangu na fulana kisha nikaelekea sebuleni kwa ajili ya kupata chakula cha usiku. Nilikuta shangazi akiwa yeye tayari ameshaanza kula.

"Vipi, mjomba hajarudi?" Nilimuuliza. Shangazi aliniangalia kwa muda kisha akatabasamu na kujifanya kama hajasikia swali langu.

"Shangazi, kwani mjomba hajarudi?"

"Ndio hajarudi!"

"Mpaka muda huu, saa nne hii" niliuliza kwa mshangao

"Ndio, kula kwanza Abdam!" Alisema shangazi huku akiwa anakula kwa mapozi. Nilianza kula kile chakula huku nikijiuliza maswali mengi hasa kwa nini shangazi nimemuomba msamaha lakini hajanijibu na badala yake aliondoka tu. Au labda atakuwa amekasirika sana. Nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.

"Shangazi, samahani,kwa kile kilichotokea leo!" Baada ya kimya cha muda mrefu, nilianzisha tena mazungumzo.

"Usijali!" Shangazi alijibu kwa mkato.

"Niambie kama umenisamehe!"

"Nitakujibu usiku, sasa hivi kula kwanza!"

"Usiku si ndo huu shangazi lakini!"

"Subiri, tutaongea!"

Tukiwa tunaendelea kula, ghafla simu ya shangazi ilitoa mlio kushiria kuwa kulikuwa na ujumbe mfupi wa maneno ulikuwa umeingia. Aliinua na kuiangalia kwa muda

"Wooow..!" Alisikika shangazi akisema bila ya kutegemea kiasi mpaka nikastuka na kumuangalia.

"Vipi tena?" Nilidadisi

"Shika usome mwenyewe!" Alisema shangazi na kunipatia simu yake ili nisome ule ujumbe uliokuwa umeingia

"SAMAHANI DEAR KWA KUCHELEWA KURUDI MPAKA SASA HIVI. ILA NIMEPATA KAZI MPAKANI AMBAYO INAWEZA IKANIWEKA HUKU KWA SIKU TATU MPAKA TANO. MWANZO NILIJUA NI KAZI NDOGO, ILA NILIVYOFIKA HUKU, NIMEKUTA NI KUBWA. MTUNZE MJOMBA ASIJIONE MPWEKE. NAKUPENDA SANA MKE WANGU NA HAKIKISHA KITUMBUA CHANGU HAWACHEZEI WATOTO KIKAINGIA MCHANGA, USIKU MWEMA" Nilimaliza kusoma na kumrudishia simu yake.

"Sasa siku tano mbona nyingi sana hivyo?" Niliuliza

"Mbona mimi nimeshazoea, kuna wakati inafikia hadi wiki mbili mpaka miezi sita"

"Mwezi?"

"Ndio, ndo hivyo!"

"Duh!"

Wakati huo nilikuwa tayari nimeshamaliza kula. Nilimuuliza shangazi wapi vinapowekwa vyombo vichafu.

"Hamna, wewe viache tu hapa, nitavitoa!"

"Sawa, basi mimi naenda kupumzika shangazi!"

"Heee na wewe, upo kama mjomba 'ako?"

"Kwa nini?"

"Mjomba wako na yeye ndo hivyo hivyo, akimaliza kula tu, ananiacha peke yangu!"

"Kumbe ndo tabia yake eeeeh!" Nilitania

" tabia yake au tabia yenu, ukoo wenu!"

"Basi mimi nitakusubiria mpaka nitapohakikisha unazima hadi taa zote za sebuleni!"

"Unaweza?"

"Ndio naweza, subiri uone!"

 

Unafikiri ni kitu gani kitakachotokea?



 


Jina la hadithi: SHANGAZI

Sehemu ya    : SITA (6)

Mwandishi:      Aslam Khan

Mawasiliano:   +255(0) 787 378 393

                        +255(0) 768 965 020

                        +255(0) 627 676 104

aslammusamail@gmail.com

 

Ilipoishia...

 

Ilikuwa ni majira ya jioni nilipokuwa nimerudi kutoka katika kazi zangu za vibarua za upakaji rangi katika majengo. Nilipokuwa nipo nje, nilisikia mtu akiongea na simu. Alikuwa baba. Nilisubiri mpaka amalize kuongea na simu ndipo niingie ndani kwa sababu alionekana kuongea kwa hasira sana.

"Habari ya jioni?" Niliwasalimia

"Salama, habari za huko?" Aliitikia mama peke yake, baba alionekana kuwa na hasira na mimi

"Namshukuru mungu!" nilijibu kwa mkato huku nikiingia chumbani kwangu. Niliweka vitu vyangu na kutoka nje ya chumba changu.

"Wewe Abdam, njoo hapa!" Baba alisema kwa sauti ya ukali.

"Kwani kuna nini?" Niliuliza

"Nimesema njoo hapa" alisema huku akifura kwa hasira.

"Mama kwani kuna nini lakini?" Niliuliza huku nikiwa na woga mwingi!

"Muulize baba yako, yeye si ndiye aliyekuita, nikisema haunisikii!"

 

...songa nayo...

 

"Hivi wewe mtoto kwa nini kila tukiongea sisi wazazi wako, hauelewi, kwa nini lakini?, tulikuambia yule mwanamke achana nae ni mke wa mtu, lakini wewe hutaki kuelewa, mke wa mtu ni sumu, lakini hautaki kuelewa. Sasa nakua...." Kabla baba hajamalizia kuongea kile alichokuwa anataka kukiongea, simu ya mkononi ya mama iliita na kufanya akatishe maongezi.

"Hello!"

"Habari yako dada?" Ilisikika sauti ya mtu upande wa pili.

"Salama, za huko?"

"Sisi hatujambo, sijui nyinyi huko mnaendeleaje?"

"Tunamshukuru mungu kaka, vipi wifi anaendeleaje?"

"Wifi yako hajambo, analalamika upweke tu pale ninapokuwa katika mihangaiko yangu!"

"Aah mpo peke yenu kumbe?"

"Ndio dada, na ndio maana nimekupigia simu!"

"Nakusikiliza"

"Abdam si amemaliza shule, kwa hiyo tulikuwa tunamhitaji aje aongee huku siku mbili tatu"

"Sawa, kwa upande wangu sina shida, labda uongee na baba yake yupo hapa!"

"Ooh kumbe shemeji yupo hapo, nipatie niongee nae!" Mama alimpatia simu baba, na kuanza kuongea na mjomba, ndugu yake mama. Waliongea kwa takribani dakika tano hivi. Baada ya kukata simu, aliniangalia kwa muda kisha akamuangalia mama

"Amesema atamtumia nauli kesho!"

"Sawa" alisema mama

"Mama, mie hata sijatembea nae, nilikuwa namuelekeza jinsi ya kuishi katika ndoa yake, pia nilikuwa namwambia kuwa kwa sababu ameamua kuolewa, mie anisahau tu anichie maumivu yangu nikae nayo mwenyewe, ndo hapo tulipokutwa!" Nilijaribu kujitetea

"Kelele, hebu toka hapa!" Baba alisema kwa ukali, nilitoka sebuleni na kuingia chumbani kwangu.

"Kwani chakula bado?" Aliuliza baba.

"Bado kidogo!"

"Fanyeni mpakue, nataka nikapumzike mimi!"

                                             *****************

ALHAMISI

Baada ya kutumia siku tatu kwa ajili ya kujiandaa na safari, hatimaye siku ya safari iliwadia. Niliamka mapema asubuhi mnamo saa kumi na moja na kuanza kujiandaa ikiwa ni pamoja na kuusafisha mwili. Nilipomaliza, nilikunywa chai kabisa.

"Umeshaamka?" Baba aliniuliza mara aliponikuta ninakunywa chai sebuleni.

"Ndio baba!"

"Vitu vyako vyote umeviweka vizuri!"

"Ndio, bado tiketi tu!"

"Aaah nimesahau, zipo chumbani kwangu!" Alisema baba kisha akaingia chumbani kwake. Baada ya sekunde kadhaa alirudi akiwa na tiketi mkononi.

"Hizi hapa, utawasalimia huko!"

"Sawa!"

"Zaidi, tutaongea kwenye simu, sawa?"

"Sawa baba!"

Niliondoka nyumbani na kuelekea katika kituo cha mabasi ili kuisubiri gari niliyoikatia tiketi. Saa moja kasoro iliwasili na mpaka kufikia saa moja, safari ilianza. Ilikuwa ni safari ya pole pole huku mwanzo kutokana na foleni za katikati ya jiji. Baada ya kutoka nje ya mji, mwendo ulibadilika na kuwa mkali. Ilituchukua masaa nane mpaka kufika kule nilikokuwa ninaelekea. Nikiwajulisha wenyeji wangu juu ya kuwasili kwangu. Katika safari hii, nilibahatika kukutanana mtu niliyekaa nae siti ya jirani nae, alinifurahisha, kunichekesha na kunipa siri zake zilizonifanya nitamani kujuana nae zaidi. Mjomba alikuja kunilaki. Tulitoka kituoni na kuelekea nyumbani kwake. Shangazi alinikaribisha kwa furaha. Alikuwa na asili ya kipemba flani hivi. Alinitayarishia maji ya kuoga. Nilienda kuusafisha mwili kwa ajili ya kuondoa uchovu wa safari kisha nikaenda sebuleni palipokuwa na chakula kilichoandaliwa kwa ajili yangu.

"Karibu chakula Abdam!" Alisema shangazi kwa sauti iliyokuwa legevu, sauti ya upole, sauti ya kuvutia, sauti ya kike hasa.

"Ahsante!" Nilisema huku nikikisogelea chakula na kuanza kukiadabisha huku shangazi akiwa pembeni akiniangalia kwa jicho la kuibia ibia. Sikujali, kwani njaa ilikuwa inaniuma sana.

"Sasa mie natoka mara moja, nitakukuta baadae!" Alisema mjombaambaye muda mwingi alikuwa yupo chumbani kwake.

"Sawa!" Nilijibu kwa kifupi kutokana na chakula kilichokuwa mdomoni kwangu.

"Tutaongea jumapili!"

"Sawa, harafu wapigie simu uwaambie kuwa nimefika, maana mimi kwangu salio limeisha wakati wake!"

"Sawa, baadae!" Alijibu na kuniaga. Alimuita mkewe na kumpa maagizo kadhaa kisha akaodoka. Ilikuwa ni saa kumi alasiri. Shangazi aliingia ndani na kisha kuja pale nilipokuwa nimekaa.

"Unakunywa soda gani Abdam?" Aliniuliza

"Nilikuwa napendeleaga ile soda ya zabibu!"

"Ulikuwa tena?"

"Ndio!"

"Kwa nini?"

"Siku hizi sipendelei soda!"

"Sawa, vipi kuhusu sharubati?"

"Ndo kitu gani hiko?"

"Heeeh, juisi bwana!"

"Maji yanatosha!"

"Mh... Una vituko wewe unanifurahisha tu leo siku ya kwanza?"

"Mimi?"

"Ndio"

"Mbona ni kawaida yangu?"

"Kawaida yako kuwafurahisha watu?"

"Ndio!"

"Kama vipi?"

"Kama nikimkuta mtu ana huzuni, namtuliza mpaka afurahi, muda mwengine huwa naandika stori ili watu tu wafurahi!"

"Heee...makubwa!"

"Makubwa tena, mbona naweza zaidi ya hayo, yapo mengine zaidi ya makubwa ninayaweza!"

Shangazi alibaki anaabasamu huku macho yake makubwa yakiongeza uzuri wake. Ndio alikuwa ni mwanamke hasa, mpole, anayejiamini. Ila alikuwa na kitu ambacho huwa nakipenda sana na kunichanganya. Matiti ya saizi ya kati, yaliyosimama vizuri, yalinisisimua sana. Tuliendelea kuongea kwa muda mpaka pale nilipomaliza kula. Shangazi aliondoa vyombo na kuniambia nimfuate akanionyeshe chumba changu cha kulala. Baadae alitoka na kuniacha mimi chumbani. Niliamua kujipumzisha kwanza ili kupunguza uchovu. Nilikuja kuamka majira ya saa mbili hivi za usiku. Niliangalia sebuleni, hakukuwa na mtu,

"Mmh shangazi itakuwa amelala labda!" Nilijisemea kimoyo moyo.

Nilirudi chumbani kwangu na kuvua nguo zangu, na kuchukua taulo kwa ajili ya kwenda kuoga wakati huo haja ndogo ilikuwa imenibana sana nusu ya kutoka yenyewe. Nilikimbilia bafuni ili kuwahi kabla sijadhalilika kwa kujikojolea mtu mzima. Nilifungua mlango wa bafu na kwa haraka nikaingia ndani huku nikiwa tayari nimeshaanza kuushika uume nje ambao ulikuwa tayari umeshaanza kutoa haja ndogo kabla sijafika katika eneo maalum. Nilipoingia bafuni, ndipo haja ndogo ilipoacha kutoka kutokana na mstuko nilioupata. Nilimkuta shangazi akiwa uchi kabisa akiwa anajiandaa kuoga. Niliduwaa, wote tulikuwa kama watu tuliopigwa na shoti, tulibaki tukitazamana kwa muda tukiwa uchi kabisa....

 

Je nini kiliendelea... Usikose sehemu zitakazofuata.

 

 

 


 



Jina la hadithi: SHANGAZI

Umri KUANZIA MIAKA KUMI NA NANE(18+)

Sehemu ya:     TANO(05)

Mwandishi:      Aslam Khan

Mawasiliano:   0787 378 393,

                        0768 965 020,

                        0627 676 104.

 

Ilipoishia...

 

"Nenda kazime taa sebuleni kwanza mke wangu!"

"Aah unataka kunikimbia eeeh, twende tukazime wote!"

"Kwa hiyo ndo umetumia mbinu hiyo ili upate kunikalisha hapa ili nikusubiri, sio?"

"Mmmh" shangazi aliitikia kwa sauti ya kudeka iliyojaa mahaba. Wote walicheka. Walienda kuzima taa na kurudi chumbani kwa ajili ya kujipumzisha huku wakitembea kwa kuyumba yumba kana kwamba walikuwa wamelewa huku wakijikwaa mara kadhaa. Waliingia chumbani.

"Mbona unakimbilia kulala, nimekwambia leo nataka, na nina usongo sana!"

"Silali mke wangu, najiandaa tu"

Shangazi alimuangalia mjomba kwa muda, alimrukia na kuanza kuitafuna midomo ya mjomba kwa fujo. Alimpapasa mwili mzima huku mjomba akitoa ushirikiano mdogo. Shangazi alikuja kustuka pale alipoingiza mkono ndani ya boksa, alistuka sana hakuamini macho yake kwa kile alichokiona

 

...songa nayo.....

 

"Mume wangu, kwani una tatizo gani lakini wewe?" Shangazi aliuliza huku akimpiga piga mumewe ngumi zisizoumiza za kifuani.

"Hamna mke wangu, labda ni kuchoka tu na kazi!"

"Kazi, kazi gani, kazi gani wewe mwanaume, kumbuka hatujafanya karibu miezi miwili sasa, unajua unanipa wakati mgumu mwenzio lakini?"

"Miezi miwili, huo uongo sasa, si wiki iliyopita tu tumefanya hapa!"

"Eti wiki iliyopita, hivi unaichukua simba iende ikacheze na njombe jiji, harafu unahesabu kama hayo ni mashindano kweli, kama sio mazoezi!"

"Sasa kumbe ni nini!"

"Unaniudhi, unaniudhi, unaniudhi sana, haya na hizo siku zenyewe unazosema unakuwa kama nguruwe, kimoja tu, hoi, taabani, una nini wewe?"

"Usiongee sana, tuendelee ili uridhike wewe!"

Shangazi aliposikia hivyo, alikatisha kuongea. Mjomba alianza kumuhudumia mkewe kwa kumuandaa. Kwanza alianza na midomo yenye steki za haja, isiyo na mfupa. Akaitafuna vilivyo kiasi cha kuregea na kuwa kama inataka kudondoka. Akahamia shingoni akiutafuta mshipa mkuu wa damu unaopeleka damu kwenye ubongo kama vampire vile. Shangazi hakuwa nyuma kusubiri matokeo, maana kuna watu wakinogewa sana huwa hawajishughulishi, wao ni kusubiri tu kitu kinachofuatia harafu wanalaumu hawajafikishwa. Aliushika mwili wote tumboni, kitovu, kifuani mpaka mgongoni. Wakati huo mjomba alishuka mpaka kwenye chuchu saa sita zilizochomoka kutokana na msisimko mkali uliotawala katika mwili wa shangazi. Shangazi mzuka ulimpanda zaidi, akapitisha mkono wake chini ya makalio yake ambako kulikuwa na uume wa mjomba. Alianza kuufanyia masaji. Kadri muda ulivyokuwa unakwenda, hakuna mafanikio yaliyokuwa yanaonekana. Alipoona hivyo, akamlazimisha mjomba kulala na kila mmoja kichwa chake kilikuwa katika sehemu ya siri ya mwenzake wakiwa wamelalia ubavu. Ambapo wataalamu huiitwa staili hii kuwa sitini na tisa (69). Mjomba alikiramba vilivyo kisimi huku mara chache chache akitia ulimi ukeni, lakini asilimia kubwa ni vidole viwili. Cha pete na cha kati, alivikunja mithili ya salute anayopigiwa shetani katika chama cha freemasons. Aliviingiza vyote na kukunjia kwa juu ili kusugua sehemu ya kipele ‘G’ iliyo ndani ya uke chini ya kisimi. Wakati anafanya hivyo, ulimi wake haukubanduka katika kinembe, kiharage, kisimi. Uke ulilainika kabisa kiasi hata vidole vinne vingeweza kuingia. Mjomba aliingiza vitatu na kufanya kama anapiga piga kule kwenye 'G' spot kama watu wengi wanavyopenda kuita. Hali ile ilimfanya shangazi azidi kupagawa na kutamani uume kuingia katika uke wake, kwani alibakia sehemu ya uume tu ili afikie mshindo, a.k.a kilele cha mlima kitonga. Shangazi alijitahidi sana, sana, sana, lakini wapi. Aliongeza kasi ya kuusugua uume, kisha kuutia mdomoni ambako ulikuwa kama unaleta matumaini, lakini akitoa mdomoni, ulikuwa unasinzia na taratibu kuwa mdogo. Kutokana na msisimko mkubwa aliokuwa nao kiasi cha kuutamani uume kuingia katika uke wake, alimpindua mjomba na kumlaza chali. Mjomba aliendelea kuchezea zile sehemu muhimu mpaka shangazi akawa anaelekea kufikia mshindo. Kadri alivyokuwa anakaribia kufikia mshindo, ndivyo shangazi alivyokuwa anazidisha kuulazimisha uume usimame na angalau apate joto lake. Hatimaye shangazi alifika kileleni. Hapo ndipo alipotamani zaidi kuendelea lakini akihitaji sana uume kuingia katika uke wake. Alizidisha kuuingiza uume wote mdomoni na kuunyonya kiustadi, kiufundi. Baada ya dakika tano alistaabu sana. Mjomba alimwaga shahawa kuashiria alifika mshindo, tena uume ukiwa umeregea vile vile. Wakati huo mjomba aliwaza kuhusu mwanamke wa kiarabu aliyelala nae siku mzima wa mchana wa siku hiyo. Kwa kweli alikuwa amechoka sana.

"Unanifundisha tabia mbaya, unanifukuza!" Alisikika shangazi akisema huku akiupiga kofi uume kisha akachukua shuka na kujifunika tokea kichwani mpaka miguuni akitaka asiguswe na mtu.

     

                              ******************

(JUMAPILI)

 

Ilikuwa ni majira ya jioni nilipokuwa nimerudi kutoka katika kazi zangu za vibarua za upakaji rangi katika majengo. Nilipokuwa nipo nje, nilisikia mtu akiongea na simu. Alikuwa baba. Nilisubiri mpaka amalize kuongea na simu ndipo niingie ndani kwa sababu alionekana kuongea kwa hasira sana.

"Habari ya jioni?" Niliwasalimia

"Salama, habari za huko?" Aliitikia mama peke yake, baba alionekana kuwa na hasira na mimi

"Namshukuru mungu!" nilijibu kwa mkato huku nikiingia chumbani kwangu. Niliweka vitu vyangu na kutoka nje ya chumba changu.

"Wewe Abdam, njoo hapa!" Baba alisema kwa sauti ya ukali.

"Kwani kuna nini?" Niliuliza

"Nimesema njoo hapa" alisema huku akifura kwa hasira.

"Mama kwani kuna nini lakini?" Niliuliza huku nikiwa na woga mwingi!

"Muulize baba yako, yeye si ndiye aliyekuita, nikisema haunisikii!"

 

Je kuna kitu gani kilichotokea, usikose sehemu inayofuata ili kujua zaidi.

 

 



 


Sehemu ya:      NNE (4)

Mwandishi:       Aslam Khan

Mawasiliano:    0787378393

 

Ilipoishia...

 

"Ndo ninachokupendeaga mke wangu, yaani sijui unaniwekea nini katika chakula jamani, maana chakula cha leo ni kitamu sana!" Alisema mjomba.

"Na wewe hata siku moja sijakusikia kusema chakula ni kibaya"

"Sasa kama unapika chakula kizuri nisiseme?"

"Kizuri wapi, si useme tu kuwa haujui kupika!"

"Nani, mimi, hahahaha kumbe haunijui vizuri eeeeh!"

"Aaah maneno tu hayo!" Alisema shangazi huku akirembua macho yake kimahaba.

"Maneno, subiri siku moja nije kukupikia chakula hicho, utafurahi na roho yako!" Alijibu mjomba

"Nitafuahi na roho yangu kwa jinsi kitakavyokuwa hakijaiva eeeeh!"

"Khaaa, hakijaiva, subiri uone!"

"Harafu nikwambie kitu mume wangu?!" Alisema shangazi huku akimshika shika mjomba ndevu chache alizokuwa nazo maarufu kama uchebe.

 

...Songa nayo....

"Nakusikiliza mke wangu!"

"Unajua unavyochelewa kurudi usiku, mimi huwa naogopa sana mwenzio?"

"Kwa hiyo nikutafutie mke mwenzako?"

"Wewe, unataka uniletee yule mwanamke ambaye nilikufumania nae kipindi kile, sio, usinitibue!"

"Samahani mke wangu, sijamaanisha hivyo, nilikuwa nakutania tu jamani mke wangu!" Alisema mjomba huku akikisogeza kichwa cha mkewe katika kifua chake chenye nywele chache wenyewe huita bustani ya makopa kopa.

"Kwanza wake wawili utatuweza, mimi peke yangu tu unanishindwa, unaniachaga nateseka tu na nyege zangu, wewe nitafutie mtu yeyote yaani hata kama umechelewa kurudi au kama vile unavyosafiri wiki, wiki mbili mpaka mwezi, angalau awe nipo nae anipunguzie uoga hapa ndani!"

"Basi usijali mke wangu, nitakutafutia mfanya kazi za ndani akusaidie kazi!"

"Kwani nimekwambia nina kazi nyingi, kwanza nina wivu sana, siwezi kuishi na mdada wa kazi!"

"Kwa hiyo unataka nifanyaje mke wangu?"

"Kwani hakuna hata ndugu yako wa kiume tuje tukae nae kwa muda ili hata pale utakapochelewa kurudi basi niwe nakaa nae kama mlinzi!"

"Nini, ili nikichelewa kurudi uwe unakaa nae?, kukaa nae yeye badala yangu mimi, munafanya nini?" Alisema mjomba kwa ukali.

"Heeeeeh, makubwa ndo tumefikia huko, basi hata hamu sina!" Alisema shangazi huku akipiga viganja vya mikono yake.

"Hahahahah, hapana mke wangu, nakutania tu, mmmmmh usitaniwe!" Alisema mjomba na kumshika shangazi begani kwa mkono wa kushoto na kumlisha chakula.

"Umezidi bhana, kitu kidogo tu, wivu!"

"Kwa hiyo mimi nisiwe na wivu kwako?"

"Ndio!"

"Utajuaje kama nakupenda sasa?"

"Aliyekwambia wivu kama huo wa kijinga ndo mapenzi ni nani, yaani ujifanye una wivu kumbe unanisaliti kama unavyofanyaga, vitendo ndio upendo na sio kuigiza!"

"Sawa mke wangu, kuna mtoto wa dada yangu ambaye amemaliza masomo hivi karibuni, sasa hajabahatika kupata kazi, yeye yupo yupo tu. Tunaweza tukamchukua na kukaa nae kwa muda wa miezi kadhaa hivi harafu atarudi akishachoka baada ya hapo tutaangalia utaratibu mwengine!"

"Aah huyo mtoto mwenyewe sio mkorofi lakini, manake kuishi na watoto wa watu ni kazi kweli kweli!"

"Kwa ninavyomjua mimi, sio mkorofi labda aanze huku ukubwani!"

"Ukubwani, kwani ana umri gani?"

"Kama miaka ishirini na tatu hivi!"

"Mmmh!" Shangazi aliguna.

"Vipi tena, mbona unaguna?"

"Hamna, sio muhuni kweli?"

"Aaah nahisi, ila sina uhakika!"

"Sawa!"

"Sawa, mimi natangulia, utanikuta chumbani!"

"Sasa si ungenisubiria na mimi tu kabisa!"

"Leo nimechoka sana, ule mpango nitaufanya kesho?"

"Mpango gani tena?"

"Umeshakuwa msahaulifu tena mke wangu?"

"Wewe niambie tu jamani!" Alisema shangazi huku akiondoa vyombo mezani.

"Kwani tumeongea kitu gani?"

"Kitu gani?"

"Unajua unananiudhi sana wewe!" Alisema mjomba huku akiwa amesimama katika mlango wa kuingilia chumbani kwake.

"Kwa hiyo kukuambia uniambie ndio imekuwa nongwa sio?" Alisema shangazi huku akiwa tayari ameshamaliza kuondosha vyombo mezani na kusafisha vizuri. Alimfuata mjomba pale mlangoni.

"Nilikuambia unisubiri ili tukalale wote lakini ukajifanya mkaidi, kwa hiyo mimi nilitaka unisubiri tu. Mume lazima amjali mkewe bwana. Na leo nataka nikupe mambo mazuri sana, manake siku zote hizi nimevumilia najua leo utanitoa." Alisema shangazi huku akimkumbatia mumewe.

"Nenda kazime taa sebuleni kwanza mke wangu!"

"Aah unataka kunikimbia eeeh, twende tukazime wote!"

"Kwa hiyo ndo umetumia mbinu hiyo ili upate kunikalisha hapa ili nikusubiri, sio?"

"Mmmh" shangazi aliitikia kwa sauti ya kudeka iliyojaa mahaba. Wote walicheka. Walienda kuzima taa na kurudi chumbani kwa ajili ya kujipumzisha huku wakitembea kwa kuyumba yumba kana kwamba walikuwa wamelewa huku wakijikwaa mara kadhaa. Waliingia chumbani.

"Mbona unakimbilia kulala, nimekwambia leo nataka, na nina usongo sana!"

"Silali mke wangu, najiandaa tu"

Shangazi alimuangalia mjomba kwa muda, alimrukia na kuanza kuitafuna midomo ya mjomba kwa fujo. Alimpapasa mwili mzima huku mjomba akitoa ushirikiano mdogo. Shangazi alikuja kustuka pale alipoingiza mkono ndani ya boksa, alistuka sana hakuamini macho yake kwa kile alichokiona.

 

Je alikiona kitu gani?

 


 



Jina la hadithi: SHANGAZI

Sehemu ya:      TATU

Mtunzi:            Aslam Khan

Mawasiliano:   0627676104

 

ILIPOISHIA....

 

"Shangazi!" Niliita kwa upole na macho yenye kubembeleza jambo.

"Niambie dear!"

"Basi hata kuniruhusu nikatafute asali katika pango la nyuki?"

"Nyuki wenyewe ni wakali, angalia utatoka manundu!"

"Mimi siogopi manundu!"

"Usijali, nimekwambia kabla mjomba wako hajarud........!"

"Wewe....wewe......wewe.... Kabla sijarudi unataka kufanya nini, eti unataka kufanya nini?" Ilikuwa sauti ya mjomba alipokuwa anatoka chooni. Nilijua siku za mwizi arobaini. Niliona nimekamatwa na nikawa nasubiri hatma yangu

 

...SONGA NAYO....

 

"Aaah....a..a..aahh.. Nimemwambia afanye kazi zote zinazompasa kuzifanya. Azimalize kabla wewe haujarudi kutoka kazini ziwe tayari zimemalizika" alisema shangazi kwa kujiamini huku akiwa mkali kidogo. Hapo ndipo nilipogundua kuwa mwanamke akiwa na jambo lake, halishindwa. Mjomba aliniangalia kwa muda. Niliinamisha macho yangu chini kwa uoga.

"Kwani mimi na wewe ni nani mwenye kurudi mapema kazini?" Mojomba alimuuliza mkewe

"Mimi!" Shangazi alijibu kwa unyonge.

"Basi wewe ndo utazifanya hizo kazi, huyu amekuja hapa kutembea tu na sio kufanya kazi kazi. Unataka kumkondesha tu mtoto wa mwanamke mwenzako. Unajua ubishi wako wa tangu usiku wa jana ndio unataka kuuleta na leo, hakuna kumfanyisha kazi za kike huyu, sawa?"

"Sawa mume wangu!"

"Mjomba, chukua hii 'buku' (elfu moja) utatumia mchana. Muda wa chakula ukifika utapika chakula chako tu, nafikiri mboga mboga na samaki wa kukaanga wapo kabatini." Alisema mjomba huku akinipatia noti ya shilingi elfu moja. Mjomba alitangulia kuingia chumbani kwake akifuatiwa na shangazi kwa nyuma, shangazi aliingia huku akinikonyeza na kutabasamu. Shangazi alitoka nje na kwenda bafuni kuusafisha mwili wakati huo mjomba alishamaliza kujiandaa na kutoa pikipiki yake nje kwa ajili ya kuiandaa tayari kwa safari ya kwenda kazini. Mimi niliingia zangu chumbani kwangu. Nilitoa taulo na kubakia uchi nikiwa natafakari yale yaliyotokea. Shangazi alipotoka kuoga, aliingia chumbani kwake na alipomaliza kujiandaa alitoka mpaka nje kwa ajili ya kuondoka.

"Vipi tena?" Mjomba alimuuliza shangazi mara alipomuona shangazi anataka kurudi tena ndani.

"Aahhh...aaah nimesahau pochi yangu ndani, manake siioni!"

"Kachukue haraka, si unajua tumechelewa sana leo?"

"Itakuwa nimeisahau pale kitandani!"

"Wewe fanya haraka, maelezo ya nini sasa?"

Shangazi aliingia ndani na badala ya kuingia chumbani kwake, alikuja moja kwa moja mpaka chumbani kwangu. Nilistuka sana nilipomuona kwani nilikuwa katika dimbwi zito la mawazo. Niliinuka na kutaka kukimbilia taulo, lakini shangazi alinizuia kwa kunishika kiuno yeye akiwa nyuma yangu na kuupeleka mkono wake katika mkuki wangu na kusababisha uanze kuinuka.

"Vipi tena baby, umestuka kitu gani?" Shangazi aliniuliza

"Hivi shangazi, unafikiri mjomba akija kutukuta, itakuaje, tumenusurika padogo tu muda mchache uliopita!"

"Tatizo nimenogewa na kile ulichowahi kunipatia siku za nyuma, hivyo nimekimiss sana, ila usijali, yeye hawezi kuja huku kwa sababu hata mimi pia sikai!"

"Enhe, niambie!"

"Chukua hii hela, naomba ukanunue chakula kizuri ule, tena ule ushibe mimi nitakapoingia ni kazi tu, usije ukanifia mtoto wa watu kwa sababu ya mlo, tena hayo mambo ya kupika pika nisije nikakukuta umechoka bure kwa sababu ya kupika, nataka nikukute ukiwa na nguvu zako, umenielewa mpenzi?" Alihoji.

"Sawa hamna shida baby shangazi!" Nilijibu huku nikipokea noti ya shilingi elfu kumi kutoka kwa shangazi.

"Mwaaaaaah!" Shangazi alinibusu katika paji la uso na kuondoka akiniachia alama kama mwanamke wa kihindi anayetaka kuolewa, ambaye hupakwa sinduli katika paji la uso, lakini sinduli hii ilikuwa ya alama za midomo iliyoiva kana kwamba ilichinja kuku. Baada ya shangazi kutoka nilisikia sauti ya pikipiki ikiwa inaondoka katika eneo la nyumbani hivyo nikajua kuwa shangazi na mjomba walikuwa wanaondoka. Walipoondoka, ndipo nilipoanza kuwaza ni kwa jinsi gani uhusiano wangu na shangazi ulivyoanza.

 

 SIKU KUMI NYUMA(ijumaa)

 

Ni majira ya jioni nyumbani kwa mjomba ambapo mjomba na shangazi walikuwa wakipata chakula cha jioni kabla ya kile wanachokiitaka chakula cha funga kazi, chakula cha usiku, usiku mnene ambacho unakula mpaka mchawi akija anakasirika kwa sababu anakukuta bado upo macho.

"Ndo ninachokupendeaga mke wangu, yaani sijui unaniwekea nini katika chakula jamani, maana chakula cha leo ni kitamu sana!" Alisema mjomba.

"Na wewe hata siku moja sijakusikia kusema chakula ni kibaya"

"Sasa kama unapika chakula kizuri nisiseme?"

"Kizuri wapi, si useme tu kuwa haujui kupika!"

"Nani, mimi, hahahaha kumbe haunijui vizuri eeeeh!"

"Aaah maneno tu hayo!" Alisema shangazi huku akirembua macho yake kimahaba.

"Maneno, subiri siku moja nije kukupikia chakula hicho, utafurahi na roho yako!" Alijibu mjomba

"Nitafuahi na roho yangu kwa jinsi kitakavyokuwa hakijaiva eeeeh!"

"Khaaa, hakijaiva, subiri uone!"

"Harafu nikwambie kitu mume wangu?!" Alisema shangazi huku akimshika shika mjomba ndevu chache alizokuwa nazo maarufu kama uchebe.

 

Je ni kitu gani anachotaka kumwambia?

Usikose kufuatilia sehemu zinazokuja ili kujua zaidi.

 


MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget