Halloween Costume ideas 2015
Articles by "SHANGAZI SEASON TWO"


 Jina la hadithi. : SHANGAZI II

Sehemu ya : KUMI NA MBILI (12)

Mwandishi : Aslam Khan

mawasiliano : +255 (0) 627 676 104 

aslamstorymail@gmail.com

aslamstory.wordpress.com



Ilipoishia...


"Hamna kitu, unataka tuwe tunachat?"

"Wewe tu, sio mbaya!"

"Sawa!" Nilijibu huku nikifikiria neno la kuanza nalo. Nilitafakari kwa muda, mara simu yangu ikatoa sauti tena.

"NIAMBIE, MBONA KIMYA!" Meseji kutoka kwa Tunda ilisomeka.

"TUNDA...!"

"ABEE!"

"WEWE NI MZURI SANA!" Nilimtumia meseji iliyomfanya Tunda kuguna.

"Wewe!" Nilisikia maneno yakiwa yamemtoka Tunda. Nilianza kuwa na wasi wasi.

"HIVI NIKUULIZE?" Tunda alinitumia meseji hiyo

Endelea nayo…


“NIULIZE TU TUNDA”  nilimjibu kwa njia ile ile ya meseji

“AAH AU BASI” Tunda alinitumia meseji. 

“NIULIZE TU JAMANI!” nilimtumia meseji kwa shauku ya kutaka kufahamu alitaka kuniuliza kuhusu kitu gani. 

“BASI SUBIRI, NITAKUULIZA TUKITOKA KULA, SI UNAJUA TUMESHAFIKA NANGURUKULU” Tuna alinitumia meseji

“SAWA!” sikuwa na jinsi zaidi ya kukubali tu kile alichoiniambia. 

Tulikaa kwa takribani dakika kumi na tano pasi na mtu yeyote umsemesha mwenzake mpaka tulipofika katika mji wa NANGURUKULU m ji ambao kwa magari yote ya abiria yaendayo katika mikoa ya kusini mwa Tanzania huweka kituo cha muda ili kuwapa nafasi abiria wao kupata chakula. 

“vipi hauendi kula?”  Tunda aliniuliza

“nitaenda labda kujisaidia tu” nilisema huku nikiipigia mahesabu kiasi kidogo cha pesa kije kunisaidia katika siku zinazofuata.

“kujisaidia kila mmoja ataenda, nazungumzia kwenda kula chakula” Tunda alisisitiza

“huo ni mtihani sasa!” nilisema

“kivipi”

“yaani hapo ni sawa na kwenda kujisaidia pale unapokwenda kujisaidia wewe!” nilisema.

“kwani kwenda kujisaidia pale ninapokwenda kujisaidia mimi ni vibaya?” Tunda aliniuliza.

“sio vibaya, ila inakuwa ni suala lisilowezekana!”

“hakuna kisichowezekana, na mie nimeshakuelewa kuwa hutaki kwenda kula kwa sababu hauna hela, twende tu, mie nitakununulia ukitakacho!” Tunda alisema kwa kujiamini.

“mmmmmh…..!” niliishia kuguna tu. Niliongozana na Tunda mpaka kwenye mlango wa choo ambapo niliingia kwenye choo cha kiume na yeye kuingia katika choo cha wanawake. Baada ya muda mfupi kila mmoja alirudi akiwa ameshakidhi haja yake. Kilichofuata ni kwenda sehemu ambayo vyakula huuzwa. Ilitubidi kuchukua vyakula kwenye sehemu maalumu ili kwenda kula ndani ya basi kutokana na muda kuwa mdogo sana. Mimi sikuwa na ubavu wa kuagiza chakula change kutokana na chakula chenyewe ninanunuliwa, hivyo niliona hata aibu. Tunda aliagiza niwekewe chipsi kavu pamoja na kuku nusu. Tulifungasha vyakula vyetu mpaka ndani ya gari na kuanza kula taratibu huku stori za uongo na kweli zikiwa zinasindikiza mlo wetu. Muda mchache tangu tulipoanza kula, gari lilianza kuondoka katika eneo la Nangurukulu na kushika njia inayoelekea Kilwa kilanjelanje mpaka somanga. Kwa stori tulizokuwa tunaongea, ungetukuta, ungeweza kusema kuwa tulikuwa tunafahamiana kwa kipindi kirefu.baada ya kumaliza kula, kila mmoja alijisafisha kwa tishu na kunywa maji ya kutosha. Hapo nilihisi usingizi ukiwa unaninyemelea kwa mbali. Nilijitahidi nisilale.

“Tunda, kwani bado sana kufika?” nilimuuliza mara baada ya kupita muda mrefu wa safari.

“dah, bado, ndo kwanza tupo Mandawa hapa!” alijibu Tunda

“basi mie nalala kidogo, utaniamsha basi” nilimwambia Tunda.

“mimi mwenyewe nalala, ila nafikiri nitawahi kuamka kabla yako”

“sawa Tunda uniamshe, nisije nikapitishwa!” nilisema

“unaposhuka ndio mwisho wa gari, utapitishwa vipi sasa hahahahaha” alijibu Tunda huku akicheka.

“aaah mie sijui sasa na wewe wanicheka”

“hahahah tulale bhana!” alijibu tunda na kila mmoja akajiweka katika mkao mzuri wa kuutafuta usingizi. Baada ya muda mchache kila mmoja alilala. Sikujua nililala kwa muda gani, ila nilistuka ninaamshwa na Tunda huku mkono wangu ukiwa ndani ya blauzi aliyokuwa ameivaa Tunda. Ulikuwa katika eneo la tumbo lake. Nilistuka sana na kuutoa mkono wangu haraka haraka. Nilimtazama Tunda kwa aibu, nikitamani kumuomba msamaha lakini kutokana na aibu iliyonijaa, nilishindwa kabisa. Haraka haraka niliishika simu yangu na kugeukia dirishani kisha nikaingia upande wa kuandika ujumbe mfupi wa maandishi. Nilitafuta namba ya Tunda.

“SAMAHANI SANA TUNDA!” nilituma ujumbe kwa Tunda huku nikiwa ninasikilizia majibu kutoka kwa Tunda. Baada ya muda simu ya Tunda ilitoa mlio. Aliichukua na kuiangalia kisha akaniangalia na kutabasamu.

“ABDAM, UNA MPENZI KWANI?” ndio lililokuwa jibu la Tunda.

“KWA NINI WANIULIZA HIVYO?” nilijibu swali kwa swali badala ya swali kwa jibu.

“KWANI HILI NDO JIBU LAKE?” aliuliza. Nilikaa kwa muda nikitafakari nimpe jibu gani. Niliona hakukuwa na haja ya kumdanganya, bora kumwambia ukweli tu.

“NDIO NINAYE!” nilijibu kwa kifupi

”ANAITWA NANI?” aliuliza

“HUSNA!” nilizidi kujibu kwa kifupi  

“ANAKAA WAPI?”  alizidi kuuliza maswali.

“YUPO DAR ES SALAAM!” 

“SAWA!” alijibu kwa kifupi.  Baada ya hapo tulikaa kimya kwa dakika nyingi pasi na mtu kumsemesha mwenzake

“Tunda…!” nilivunja ukimya

“niambie Abdam…!”

“hapa tulipo muda huu ni wapi, maana nimetumiwa ujumbe sasa nashindwa kuwajibu!” 

“ahaa hapa tupo Mchinga, muda si mrefu sana tutaingia katika mkoa wa Lindi”

“aha, sawa ahsante sana!”

“swala hili tu ndo likufanye ushukuru, mbona kuna mengi nyuma hata shukrani haujatoa?”

“aaaah jamani Tunda, samahani sana jamani!”

“achana na hayo, nakutania tu!”

“sawa bhana”

“si unaona hapa, hapa zamani kabla ya barabara kujengwa, huu mlima ntunaoenda kuupanda sasa hivi, ulikuwa na mtindo wa herufi S, basi ajali kila siku zilikuwa zinatokea!” Tunda alisema.

“inaonyesha ni kwa kiasi gani ulivyokuwa mwenyeji….!” Nilitania

“sio sana, maana najua tu historia chache chache za milima ya huku. Tangu zamani mlima huu wa mamba, mlima wa kikwetu au mamburu kwa jina jengine, mlima wa mbanja, mmongo, na ule wa mingoyo ndio iliyokuwa milima ya hatari, achilia ile milima kama unaenda masasi kama nanyamba huko newala!”

“mmmmh mbona kama umeanza kunidanganya tena?”

“hahahah tuachane na hayo Abdam!” alisema Tunda na kunishika katika paja.

“Tunda….!” Niliita.

“ niambie Abdam…!”

“aaah uliponishika, sio mahali sahihi…!” nilisema.

“aaah jamani, hapa tu, mbona maajabu tena!”

“unaona kawaida au, nikikushika wewe utakubali?”

“kwenye paja tu, mbona ni kawaida tu…!”

“kawaida eeeeh, si ndio?”

“ndio….!” Aliitikia Tunda. Niliona anajifanya kichwa maji, niliamua kumkomesha.

“kwa hiyo na mimi nikikushika ni kawaida tu, sio” nilimuuliza kwa kumtega.

“aah ndio…!”

Aliponijibu, nilipeleka mkono wangu mpaka kwenye sketi yake juu ya paja lake. Niliweka mkono wangu juu yake, na taratibu nikaanza kutomasa kutomasa.

“mmmmmmmmmh…..!” nilisikia anaanza kuguna.

“vipi tena Tunda!”

“kwa hiyo umeamua kunikomoa, sio?”

“kwa nini?” nilimuuliza kwa kejeli.

“samahani, naomba uniache!” alisema kwa sauti ndogo naya chini iliyokuwa legevu sana

“basi siku nyengine ukiwa unaambiwa, uwe unasikiliza!”

“usijali Abdam, ila ongera sana”

“ongera ya nini Tunda?”

“subiri nitakuambia… kwa sasa acha kwanza niwasiliane na wenyeji wangu!” alisema Tunda na kushika simu yake. Kuanzia hapo hatukuongea tena mpaka tulipofika katika mkoa wa Mtwara, katika kituo cha gari za abilia. Tulipofika, hata nafasi ya kuagana hatukuipata, kwa sababu muda wote alikuwa yupo bize kweli kweli. Nilishuka kwenye basin a kupokelewa na mjomba. Kila muda nilikuwa naangalia angalia nyuma labda ningeweza kumuona Tunda, lakini sikumuona kabisa. 

“mjomba vipi tena, kuna mtu umekuja nae nini?” mjomba aliniuliza alipoona kila muda nikiwa ninaangalia angalia nyuma.

“hahahahahah hamna mjomba, naangalia angalia tu mji wenu huu!” nilisema.

“sawa, sasa sisi tunakaa NKANALEDI na ndiko tutakapoenda ila baada siku chache zijazo, tutahamia Sabasaba au Chikongola, umenielewa mjomba?”

“aha, sawa!” nilijibu huku niinua simu yangu na kuiangalia.

“aaaah kumbe simu nilitoa mlio, angalia meseji tatu na simu mbili nilizozikosa” nilisema na kuanza kuzifungua meseji.

“VIPI MPENZI, UMEFIKA SALAMA, NAONA NAKUPIGIA SIMU HAUPOKEI, NATAKA NIKWAMBIE KUWA NAWEKA MAMBO YANGU VIZURI NA KARIBUNI NITAKUJA HUKO, SIWEZI KUISHI PEKE YANGU ABDAM, SIWEZI KABISA, NAKUPENDA SANA!” Ilikuwa meseji kutoka kwa Husna. Nilipanga nitaenda kuiijibu pindi nitakapokuwa nimetulia kwa mjomba. Niliifungua meseji ya pili.

“EBWANA ABDAM, ASHA ALITAKA KUJINYONGA, HIVYO AMELAZWA HOSPITALI, HAJITAMBUI!”  ilikuwa meseji kutoka kwa Thomas ama Tom kama tulivyozoea kumuita. Yeye sikutaka kabisa kumjibu meseji yake na mpenzi wake, Asha.

“ANGALIA MBELE ABDAM USIJE UKAMWAGA BIASHARA ZA WATU, NAJUA UNANITAFUTA, MIMI NAKUONA. HUWEZI KUNIONA MAANA NIPO NDANI YA GARI LENYE VIOO VYEUSI. UKWELI NINA HISIA NAWE, NA NITAKUTAFUTA……!” Meseji ya mwisho ilikuwa inatoka kwa Tunda.


Je kipi kitatokea na Tunda?, na je vipi kuhusu Husna kama akisafiri itakuaje na je nini hatma ya Asha?

Usikose sehemu inayofuata.


Jina la hadithi. : SHANGAZI II

Sehemu ya : KUMI NA MOJA (11)

Mwandishi : Aslam Khan

mawasiliano : aslamstorymail@gmail.com

 


Ilipoishia...


Kutoka mpaka kufikia mbagala rangi tatu ilituchukua nusu saa nzima. Tulipofika mbagala, basi liliingia kituoni tena, nikiwa na mawazo mengi, nilistuka mara baada ya kusikia sauti nzuri na nyororo ikiniambia jambo. Sikuelewa anaongea kitu gani, hivyo ikanibidi niinue kichwa changu ili kumuangalia aliyekuwa ananiongelesha. Alikuwa msichana, mwenye weusi wa wastani akiwa anang'aa bara bara, wenyewe wanaitaga black beauty. 

"Sogea kule dirishani, hii ni siti yangu!" Alisema


Endelea...


"Hapa nilipokaa ndio kwenye siti yako?"

"Ndio!"

"Hebu tiketi yako kwanza niione!"

"Hii hapa, si unaona siti namba ishirini na tano hii!"

"Mbona na ya kwangu imeandikwa hivyo hivyo!"

"Tutamuuliza konda, wewe sogea kule nipumzike!"

"Kwani unatoka mbali sana na umechoka?" Nilimuuliza lakini hakunijibu kitu chochote.

Kwa sababu hakunijibu kitu chochote, niliamua kusogea kule kwenye siti ya dirishani. Baada ya muda, basi lilianza kuondoka katika kituo cha Mbagala rangi tatu. Mwendo ulianza kwa kuwa mdogo hasa kutokana na foleni iliyokuwa inapatikana katika barabara ya Kilwa mpaka kufikia eneo la kongowe. Ilituchukua takribani dakika hamsini kutoka katika kituo cha mbagala rangi tatu mpaka kufika kongowe, eneo lililokuwa linatenganisha mkoa wa Dar es salaam na Pwani. Tuliendelea kwenda kwa mwendo wa wastani mpaka tulipofika katika eneo la mwandege, ambapo mwendo ulibadilika na kuwa mwendo wa kasi. Roho yangu ilikuwa ikiomba dua muda wote tufike salama, huku nikiyafaidisha macho yangu kwa kuangalia miti iliyokuwa inakimbizana kwa kurudi nyuma. Tulipofika ikwiriri, basi liliingia kwenye mizani na baada ya kutoka likaenda kuegesha mbele kidogo tukipewa fursa ya kununua chochote kwa dakika zisizozidi tano.

"Nichukulie hindi hapo!" Sauti ya yule binti iliniambia hali iliyonifanya nistuke kwa kujua alitaka nimnunulie mahindi kwa kutumia hela yangu. Ilibidi nimuangalie usoni ili nijue alikuwa anamaanisha kile alichokuwa anakiomngea au lah!.

"Shika hela hii, nichukulie mahindi ya mia tano!" Aliendelea kusema huku akiwa ananipatia hela aliyokuwa ameishika mkononi mwake. Niliichukua na kumpa muuzaji kisha akanipatia kile nilichokuwa nimekihitaji.

"Hili hapa!" Nilimpatia huku nikimuangalia usoni. Alipokea na kuanza kula taratibu. Nilijifanya kujikausha kimya bila ya kuongea nae nikisubiri kama angeweza kuanzisha mazungumzo.

Safari iliendelea mpaka kufika katika daraja la mkapa, la mto rufiji bila ya mtu yeyote kumsemesha mwenzake. Nilichungulia dirishani ili kuyaangalia mazingira mazuri na ya kuvutia yaliyopatikana katika eneo la daraja hili refu.

"Tupo Rufiji eeeh!" Aliuliza huku ajijaribu kuangalia nje kupitia pale dirishani. 

"Ndio, darajani!" Nilijibu huku kwenye moyo wangu nikiwaza kuwa huo ndio ulikuwa wakati sahihi wa kuanzisha mazungumzo.

"Oooh..!"

"Vipi, unaenda wapi wewe?" Nilianza kumuuliza swali huku nikimuangalia usoni, hasa mdomo wake uliojazana na nyama za kutosha.

"Mtwara..!"

"Ooh hata mimi naelekea huko huko, vipi unapajua vizuri!"

"Kivipi, kama kupajua, napajua!"

"Wewe ni mwenyeji wa huko!"

"Kwa kiasi fulani naweza kusema hivyo, ingawa sio mwenyeji sana!"

"Kwa nini?"

"Huku naenda kwa baba mdogo, kutembea tu, ila mara kwa mara huwa nakuja huku kwa hiyo inawezekana kuwa mwenyeji kwa kiasi fulani"

"Aha, na unafikia sehemu gani?"

"Shangani, sijui wewe unafikia wapi?"

"Aah hata sipajui!"

"Hahaha kumbe ni mgeni kabisa, unavyouliza utafikiri kama ni mwenyeji vile, kumbe ni mgeni!"

"Aaah ila nashukuru nimekupata mwenyeji, unaweza kuwa mwenyeji wangu!"

"Nani, mie? Haya!"

"Unaweza kunifahamisha jina lako?"

"Naitwa Tunda!"

"Aaah dah nakumbuka mziki wa muumin mwinjuma nikilisikia jina lako!"

"Mziki gani huo?"

"Unaitwa Tunda kama lilivyojina lako!"

"Huo mziki ni wa zamani eeeh maana mie siujui mziki unaoitwa hivyo!"

"Ndio, zamani sana kabla ya wewe kuzaliwa!"

"Unaonekana mcheshi sana, unaweza kuniimbia kidogo labda kama naufahamu!"

"Sauti yangu mbaya, harafu itakuwa kero kwa abilia wengine, labda...!"

"Labda nini?"

"Labda nikuandikie mashairi yake kwenye meseji!"

"Haya nitumie!"

"Nakutumiaje na namba yako sina jamani!"

"Kumbe ndo unaomba namba kijanja, sio?"

"Hapana bwana, si nakutumia mashairi tu, harafu nakupa simu yangu unaifuta namba yangu!"

"Aha, hapo sawa, andika, sufuri.......tisa....saba....mbili!"

"Sawa, naweza kuisave!"

"Usiihifadhi, si unanitumia mara moja tu kisha unaifuta, usisave bhana!"

"Sawa, ngoja nikuandikie!" Nilimjibu huku nikianza kuandika mashairi ya wimbo wa tunda wa muumin mwinjuma.

"JAMANI TUNDA, NITALIPATAJE TUNDA... TUNDA TAMU TAMU!" Niliandika na kumtumia.

"Mmmmh!" Nilimsikia akiguna, nilimtazama nae alikuwa alitabasamu tu na kuendelea  akakuiinamia kwenye simu yake. Wakati nikiendelea kutafakari, simu yangu ilitoa mlio kuashiria kuna meseji ilikuwa imeingia. Nilifungua na kusoma.

"KWANI NDO IMEISHIA HAPA, ENDELEA BHANA NIMEPENDA!" Ilikuwa ni meseji kutoka kwa Tunda. Nilimuangalia Tunda ambaye alikuwa anatabasamu tu muda wote. Nilianza kujiuliza na kuona hayo mashairi ya mbele nilikuwa ninaelekea kudanganya. Niliwaza ili hata kama kudanganya, nisidanganye sana.

"NILIPOKUWA MDOGO MWENZENU MIMI, NILIKUWA SIJUI NINI MAANA YA MAPENZI, NA HIVI SASA NIMESHAKUWA, NAELEWA NINI KITU KUPENDA, BABY BABY NALIA MIMI, BABY BABY NAHUZUNIKA, NIKIKOSA KUKUONA KWA MUDA WA SIKU MOJA TU, SINA RAHA MWENZAKO, OOH OOH BABY, NAKUPENDA. SI WA KWANZA MIMI KULILIA LAKO PENZI, TOKA ENZI ZILE ZA MABABU ZETU X2, JAMANI BABY NAMPENDA KULIKONI WOTE...!" Niliiandika na kuituma.

"ENDELEA!"

"AAAH JAMANI, NYIMBO YENYEWE NDEFU SANA!" 

"HARAFU UMETUNGA NA MASHAIRI YAKO, SIO HAYA!"

Nilipoisoma ile meseji, nilishindwa hata kujibu kitu

"Vipi, mbona kimya?" Tunda aliniuliza kwa mdomo mara baada ya kuona sijatuma meseji kwa muda mrefu.

"Hamna kitu, unataka tuwe tunachat?"

"Wewe tu, sio mbaya!"

"Sawa!" Nilijibu huku nikifikiria neno la kuanza nalo. Nilitafakari kwa muda, mara simu yangu ikatoa sauti tena.

"NIAMBIE, MBONA KIMYA!" Meseji kutoka kwa Tunda ilisomeka.

"TUNDA...!"

"ABEE!"

"WEWE NI MZURI SANA!" Nilimtumia meseji iliyomfanya Tunda kuguna.

"Wewe!" Nilisikia maneno yakiwa yamemtoka Tunda. Nilianza kuwa na wasi wasi.

"HIVI NIKUULIZE?" Tunda alinitumia meseji hiyo...


Kipi anachotaka kuuliza?


Usikose sehemu inayofuata...


 Jina la hadithi. : SHANGAZI II

Sehemu ya : KUMI (10)

Mwandishi : Aslam Khan

mawasiliano : aslammusamail@gmail.­com

 

Ilipoishia...


Niliingia chumbani kwangu na kwa haraka niliifungua ile keki.

"NAKUPENDA SANA ABDAM!" Yalikuwa ni maneno niliyoyakuta juu ya keki. Pembeni kulikuwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe. Niliifunua na kusoma

"ABDAM, KESHO NAENDA KAZINI KUFUATILIA BAADHI YA MIPANGO YANGU. BIKRA YANGU NI MALI YAKO, HIVYO NATARAJIA KUKUPATIA KESHO KUTWA. NAKUPENDA SANA!"

Nilipomaliza kusoma moyo ulinipiga na kujikuta miguu ikifa ganzi. Macho yalinitoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango.


Endelea...


Nafsi yangu ilikuwa inawaza mambo mawili, nichague kupinga maamuzi ya familia yangu ili kukipata kile alichoniahidi Husna, au nikubali kwenda ili nikose kile nilichoahidiwa. Nilikuwa na mawazo mengi kiasi nilishindwa hata kuyapatia jibu la uhakika. Niliamua kumpigia simu Husna ili kumueleza hali halisi.

"Abdam...!" Sauti ya upande wa pili wa simu iliongea

"Ahsante sana Husna kwa keki!"

"Usijali!"

"Ila pia ahsante kwa ahadi uliyonipatia!"

"Oooh sawa Abdam!"

"Ila kuna tatizo limetokea!"

"Tatizo gani tena?"

"Kesho ninahitajika nisafiri!"

"Kusafiri ndio tatizo sasa?"

"Aaah yaani naenda mkoani, harafu sitarajii kurudi leo wala kesho!"

"Hilo sio tatizo!"

"Tatizo lipo!"

"Lipi?"

"Umeniahidi kesho kutwa kunipatia penzi lako, sasa huoni kama kuna tatizo hapo?"

"Ooh ndio, hilo ni tatizo sasa!"

"Nafikiria hapa nisiende, najua kama nikienda nitalikosa penzi lako, na nitakukosa milele!"

"Unataka kufanyaje?"

"Sitaki kwenda!"

"Sikiliza Abdam, usitake kugombana na wazazi wako eti kwa sababu yangu mimi, wewe nenda!"

"Sikiliza Husna, kama nikienda hiyo kesho, penzi lako nitalikosa!"

"Mimi nitakutunzia, usijali na nakuahidi utakuja kunioa wewe!"

"Aah sawa nitakuoa mie, ila tatizo mimi sitokuwa wa kwanza kupata penzi lako!"

"Wasiwasi wako ni nini mpenzi?"

"Wasiwasi wangu ni kuwa, kuna mwanaume atakuja kuwa wa kwanza kupata penzi lako kabla yangu mimi!"

"Abdam, kumbuka mimi ninajitambua, na mara nyingi sipendi kukhalifu ahadi yangu, kwa hiyo wewe usijali, kila kitu utakikuta kama vile ulivyokiacha!"

"Unataka kunidanganya tu!"

"Unafikiri nakudanganya, mara zote nakuambia jaribu kuwa mvumilivu, usipende kuwa na haraka kama hivyo!"

"Mbona uvumilivu ninao!"

"Sawa, ila hauniamini, hilo ndo tatizo lako kubwa jengine!"

"Nitakuamini vipi wakati unaniambia wewe ni bikra na sijathibitisha, pia unanificha kuhusu kazi yako!"

"Njoo basi tufanye mapenzi ili uamini ninachokuambia!"

"Sasa hivi?"

"Ndio njoo!"

"Nakuja!"

"Hebu acha utoto, jiamini mwenyewe. Lala sasa hivi, ili kesho uwahi hiyo safari yako, mimi nipo utanikuta na nakuahidi kufunga ndoa na wewe hata kama ukija kuoa mwengine!"

"Acha kunidanganya bhana!"

"Sawa kama waona nakudanganya, naomba ulale sasa hivi!"

"Sawa bhana!"

"Usiku mwema Abdam!"

"Na kwako pia!" Nilijibu nikiwa na hasira za kukosa penzi la Husna. Sikukumbuka hata kula ile keki tena, nilivuta shuka yangu na kujifunika kuanzia miguuni mpaka kichwani.

"Abdam...Abdam!" Ilikuwa ni sauti ya baba akiwa ananiamsha. Sikujua ni muda gani ulipita mpaka pale alfajiri ilipofika. Nilikuwa nimelala kwa muda mchache sana.

"Naam..!" Niliitikia nikiwa na uchovu na usingizi mwingi

"Muda huu, hebu amka ujiandae!"

"Sawa baba!" Nilijibu huku nikijilazimisha kuinuka kutoka kitandani. Niliinuka na kutoka nje mkononi nikiwa nimeshika mswaki huku kiunoni nikiwa na taulo. Nilienda nje na kusukutua kichwa na kuoga kisha nikarudi ndani. Niliposhika simu yangu ili kuangalia saa, ilikuwa yapata saa kumi na mbili kasoro. Pia kulikuwa na meseji mbili. Nilifungua ili kuzisoma.

"UNAJUA KUWA UKILIPA DENI LAKO LA TZS 1200 LEO UTAKUWA NA UWEZO WA KUKOPA ZAIDI..." Moja ilikuwa ni meseji ya deni ambalo nilikopa ili kuweka salio kwenye simu yangu. Niliifuta kabisa na kuifungua meseji nyengine.

"NAKUPENDA NA SAMAHANI KAMA NIMEKUUDHI. NIMEJITOLEA KUKUPENDA WEWE, NA NIMEKUAHIDI KUWA NITAOLEWA NAWE. KUTHIBITISHA HILO, KUNA KITU NITAKIFANYA AMBACHO KINAWEZA KUKUSHANGAZA, SIKUAMBII NI KITU GANI, BALI UTAKIONA KWA MACHO YAKO, NDANI YA MWEZI MMOJA TU." Ilikuwa ni meseji kutoka kwa Husna. Niliamua kuihifadhi. Nilivaa nguo zangu na viatu, nilipomaliza kujiandaa ikiwa ni pamoja na kupaka mafuta, manukato na kuziweka nywele kwenye mtindo mzuri, nilitoka nje ya chumba changu. Nilimkuta baba akiwa sebuleni akiwa tayari amejiandaa kwa kunisindikiza kwenda kituoni. Nilitamani hii safari iwe ndoto, kwani mbali na kukosa penzi la Husna, siku kadhaa nyuma niliota ninachinjwa na mjomba mara baada ya kunifumania nikiwa ninafanya mapenzi na mkewe, shangazi. Harafu leo hii ndio ninaenda kwake kiukweli kweli. Sikuwa na jinsi, ilibidi niende tu hivyo hivyo.

"Nipo tayari!" Nilimwambia baba

"Sawa, tuondoke!" Alisema baba na kuendelea

"Chukua hii itakusaidia njiani!" Alisema huku akinipatia noti tatu za elfu kumi kumi ya kitanzania.

"Sawa, ahsante!".

Tulichukua usafiri wa kutupeleka mpaka kituoni. Tulipofika, baba alienda kukata tiketi na nikaingia ndani ya basi. Ilipofika saa moja na nusu, basi ilianza safari ya kuelekea katika mkoa wa mtwara. Watu mbalimbali walikuwa wakiwaaga ndugu na jamaa zao, kati yao alikuwa ni baba ambaye nilikuwa ninaagana nae. Nilikuwa ninaenda kwenye mkoa ambao nilikuwa siufahamu. Basi lilianza safari taratibu kutokana na foleni kubwa ya barabara ya kilwa. Kutoka mpaka kufikia mbagala rangi tatu ilituchukua nusu saa nzima. Tulipofika mbagala, basi liliingia kituoni tena, nikiwa na mawazo mengi, nilistuka mara baada ya kusikia sauti nzuri na nyororo ikiniambia jambo. Sikuelewa anaongea kitu gani, hivyo ikanibidi niinue kichwa changu ili kumuangalia aliyekuwa ananiongelesha. Alikuwa msichana, mwenye weusi wa wastani akiwa anang'aa bara bara, wenyewe wanaitaga black beauty. 

"Sogea kule dirishani, hii ni siti yangu!" Alisema.


Kipi kitaendelea...

Usikose sehemu inayofuata.


 Jina la hadithi.   : SHANGAZI II

Sehemu  ya       : TISA (9)

Mwandishi        : Aslam Khan

mawasiliano     : aslammusamail@gmail.com


Ilipoishia...


"Mmmh hili giza linaninyima raha!" Niliwaza moyoni mwangu.

"Labda nijaribu kuingiza vidole ndio nitapata uhakika!" Niliendelea kuwaza. Niliviandaa vidole vyangu viwili kwa kuvipaka mate yaliyochanganyika na ute ute uliotoka ukeni ili niviingize katika uke wa Husna, hivyo ndo ningepata uhakika. Niliendelea kulamba kisimi chake huku nikijiandaa kwa kile nilichokidhamilia...


Endelea...


Niliviandaa vidole vyangu na kuanza kuhesabu kimoyomoyo.

"Moja....mbili....tat....!" Niliviingiza vidole, lakini havikuingia. Husna aliruka juu na kuinuka kutoka kwenye kiti.

"Abdam, kwa nini lakini?" Aliniuliza huku akiniangalia kwa jicho lililoregea kutokana na msisimko wa mwili wake.

"Samahani Husna, nisamehe sana!"

"Nijibu, kwa nini umeamua kuniumiza, unakumbuka nilikwambia nini tangu mwanzo?"

"Nikumbushe!"

"Nilikwambia mimi sijawahi kufanya mapenzi na mwanaume tangu nizaliwe, sasa unapotaka kunifanyia hivyo hujui kama utaniumiza, tena vidole viwili, angalau kingekuwa kidole kimoja. Kwani bikra ndo huwa inatolewa hivyo au hauniamini kile nilichokwambia?"

"Samahani Husna, nisamehe bwana!" Nilijibu huku nikimsogelea na kumshika kiuno kwa kumkumbatia.

"Hebu niache, niache Abdam tafadhali. Leo nilitaka nikupe penzi na uitoe bikra yangu, lakini umefeli mtihani mdogo tu kutokana na papala zako, kwa leo inatosha mpaka siku nyengine!"

"Husna, usifanye hivyo bwana!"

"Muda umeenda sana sasa hivi, chukua nguo zako uvae na uende ukalale!" Husna alisema huku akiwa anaanza kuvaa nguo zake. Niliona kweli Husna alishakusudia kuwa shughuli ilikuwa imeishia pale. Nilijilaumu kwa haraka yangu ya kutaka kuthibitisha, na kujifanya mchunguzi.

"Husna..." 

"Vaa uondoke, ulichokifanya ni kukosa kujiamini na kukosa kuniamini mimi pia, vaa!" Alisema Husna wakati huo yeye alikuwa ameshamaliza kuvaa. Nilichukua nguo zangu na kuzivaa. Nilipomaliza, nilianza kuondoka kwenda nje.

"Kuna zawadi yako nilikuandalia!" Husna alisema. Niligeuka ili kuiona hiyo zawadi. Husna alifungua friji na kutoa keki iliyokuwa ndani ya boksi lake.

"Zawadi yangu, kwani ulijua kama nitakuja, itakuwa ulijinunulia mwenyewe tu harafu unataka kunidanganya!"

"Ndio, nilijinunulia mwenyewe, nimeamua kukupatia, je umeridhika?" Alisema huku akinipatia boksi lenye keki.

"Hata nisiporidhika, nitafanya nini sasa!"

"Naona haupo sawa, ngoja nikupatie na juisi labda ukifika kwenu utataka kula hiyo keki, kwa hiyo utashushia na juisi!" Husna alisema huku akichukua chupa iliyokuwa na maji na kuyamimina kisha akachukua juisi kwenye jagi na kuimiminia kwenye ile chupa.

"Hii hapa, nahisi itakutosha!" Alisema Husna na kunipatia ile chupa ya lita moja.

"Itatosha tu, ahsante sana!"

"Usijali, ngoja nikusindikize!"

"Tulitoka ndani na kuanza kutembea taratibu kuelekea nyumbani. Nilisikia kelele za malumbano chumbani kwa Thomas lakini sikutaka kusikiliza kilichokuwa kinawafanya wagombane mtu na mpenziwe.

"Abdam!"

"Naam!"

"Unajua kwenye maisha, unatakiwa kuwa mvumilivu, mstaarabu na mwenye subira. Ukiwa na vitu vyote hivyo, itakuwa ni rahisi kupata vitu vizuri au hata unavyovihitaji!"

"Nimekuelewa..!"

"Umenielewa au ndo unataka nimalize kuongea?"

"Usijali, nimekuelewa Husna, harafu hapa uliponisindikiza panatosha, rudi ukapumzike!"

"Ngoja nikusindikize mpaka paleee harafu narudi, sawa my?"

"Hamna, wewe rudi bwana, harafu nimekumbuka, Husna, unafanya kazi gani?"

"Hahahah kuwa na subira, utajua kama utakuwa mvumilivu, kama utakuwa na subira pia kama utakuwa mstaarabu na mpole!"

"Mbona unapenda kunizungusha zungusha wewe, unajua sikuelewi!"

"Inaonekana una haraka sana Abdam, kumbuka haraka haraka haina baraka!"

"Lazima nijue, nisije kuwa na mtu kumbe kazi yake kubwa ni kudanga, harafu nikaja kupata magonjwa bure!"

"Abdam, nitake radhi!"

"Radhi ya nini, kama haufanyi hivyo mbona unaogopa kuniambia kazi yako!?"

"Nakwambia niombe msamaha!"

"Msamaha wa nini sasa?"

"Haujui unachokiongea, haukijui?"

"Nawe kwa nini hautaki nijue kazi unayoifanya!"

"Muda haujafika, muda wa kujua kazi ninayoifanya haujafika!"

"Sasa hiyo kazi gani ambayo haitajwi mpaka ufike muda maalum?"

"Unataka kuifahamu kazi ninayoifanya?"

"Ndio!"

"Ukinioa ndo utaifahamu. Kesho nitakwambia ndugu zangu walipo upeleke posa!"

"Khaaa posa tena, hata kazi sina, hela sina harafu nipeleke posa si maajabu tena hayo?"

"Mimi naelewa yote hayo na ndio maana nikakuambia kuwa mvumilivu, mpole na mstaarabu. Lakini naona kama unataka kushindwa!"

"Basi sawa, yaishe, wewe rudi tutaongea kesho!"

"Sawa Abdam, usiku mwema, mwaaaaah!" Alisema Husna huku akinibusu mdomoni.

"Nawe pia!"

"Sikiliza Abdam, kama kutakuwa na tatizo lolote lile, usisite kunijulisha harafu tutaangalia tunasaidiana vipi!"

"Sawa Husna!"

"Jamani, hata kuniita mpenzi hutaki!"

"Usijali, nenda kapumzike!". Niliachana na Husna, nami nikaingia ndani.

"Nani huyoo?" Sauti ya baba ilisikika.

"Mimi"

"Mimi ndo nani?"

"Abdam!"

"Usiku huu unatoka wapi, na nilikutafuta sana kuna tatizo hapa nyumbani!"

"Kuna mzigo nilienda kuuchukua kwa rafiki yangu!"

"Basi kama ni hivyo, sawa. Maana mjomba wako amesema usafiri kesho manake yeye anataka kwenda sehemu kikazi. Kwa hiyo, hiyo wiki ijayo anaweza akawa kazini. Hivyo inabidi kesho usafiri kwa gari za saa tano!"

"Heee mbona ghafla hivyo!"

"Amenipigia simu usiku huu huu!"

"Hata nguo sijafua!"

"Utaenda kufulia huko huko!"

"Sawa baba!"

Niliingia chumbani kwangu na kwa haraka niliifungua ile keki.

"NAKUPENDA SANA ABDAM!" Yalikuwa ni maneno niliyoyakuta juu ya keki. Pembeni kulikuwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe. Niliifunua na kusoma

"ABDAM, KESHO NAENDA KAZINI KUFUATILIA BAADHI YA MIPANGO YANGU. BIKRA YANGU NI MALI YAKO, HIVYO NATARAJIA KUKUPATIA KESHO KUTWA. NAKUPENDA SANA!"

Nilipomaliza kusoma moyo ulinipiga na kujikuta miguu ikifa ganzi. Macho yalinitoka mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango.


Kipi kitatokea..

Itaendelea...


 Jina la hadithi.   : SHANGAZI II

Sehemu  ya       : NANE (8)

Mwandishi        : Aslam Khan

mawasiliano     : aslammusamail@gmail.com


Ilipoishia...


Niliushusha mkono wangu zaidi mpaka ndani ya chupi yake na kuanza kukichezea kisimi. Nilikisugua sana, mpaka uke wake ukawa umelowana kabisa. Niliona hiyo ndio nafasi yangu ya kula penzi lake na kuthibitisha juu ya bikra yake. Nilipeleka kidole changu ili nikiingize ukeni, Husna aliruka na kusimama. Hofu ya kukosa penzi ikaanza kunijia. Husna aliniangalia kisha nikamuona anavua chupi yake, hapo matumaini mapya yalinijia. Nilijua azma yangu inaenda kukamilika muda mchache ujao.


Endelea...


Nilibakia nimetumbua macho kama mjusi aliyebanwa na mlango huku mate yakiwa yanakaribia kabisa kudondoka kutokana na uchu uliokuwa umenijaa. Niliona Husna anachelewa kuja, nilitamani kwenda kumrukia. Husna alipomaliza kuvua chupi yake, alikuja kwenye kiti na kuanza kuushika uume wangu na kuuchua kwa kutumia mkono wake. Niliona ananichelewesha tu kula dodo langu, ila niliamua kuwa mvumilivu. Aliushika na kuuzamisha mdomoni na kuunyonya kiustadi kiasi kwamba sikutamani tena kuingiza ukeni kwake, ila pale palikuwa panatosha. Kwa jinsi alivyokuwa ananinyonya, sikuwahi kunyonywa kama vile. Alikuwa fundi sana na anayejua kile anachokifanya. Aliendelea kuninyonya huku akiwa anaichezea pipi kwa mkono wake. Hali ile inifanya nione kama anachanganya changanya vitu na kuhisi kuna uji uji kama unataka kupanda kwenye mti wa pipi. Nilimvuta Husna ili tukio lenyewe lifuate. Husna alikubari na kuushika uume wangu, kisha akaukalia. Hakuuingiza ukeni kwake, ila aliukalia na kuanza kujisugua, nyuma, mbele, nyuma, mbele. Alifanya hivyo ili kukisugua kisimi chake kwa uume wangu. Msisimko nilikuwa ninaupata dogo sana kutokana na tukio lile. Kadri muda ukivyokuwa unaenda, ndivyo Husna alivyokuwa anaongeza kasi, na mvuke uliokuwa unatoka ukeni ukiambatana na ute ute, uliufanya uume wangu uhisi joto la kutosha na ule ute ulisaidia kuweza kuterezesha uume wangu kukisugua vizuri kisimi chake.

"Oooooooohhhhh...." Zilikuwa ni sauti za mahaba alizokuwa anazitoa Husna.

Kutokana na uterezi wa kutosha uliokuwa umetoka ukeni kwa Husna, pamoja na kasi aliyokuwa anaitumia katika kusugua kisimi chake, na ugumu wa uume uliotokana na msisimko mkubwa, tulijikuta uume ukitereza na kutaka kuingia ukeni, lakini haukufanikiwa kutokana na ufinyu wa mlango wa uke kuwa mdogo mno.

"Naumia.." Alisema Husna

"Pole, ila naomba niingize kidogo tu!" Nilisema kwa sauti ya kunong'ona

"Hapana, sio kwa leo, naumia sana.!" Alisema Husna na kuushika uume wangu na kuutoa katika eneo la uke wake. 

"Basi niache niende nyumbani, muda umeenda sana...!" Nilisema huku nikiwa nimekasirika sana.

"Hapana, itabidi nitumie njia nyengine ili unapoenda kwenu uwe upo sawa!"

"Sitaki bwana, niache niondoke!" Niliongea kiume ingawa nilitamani angalau shahawa zitoke kwenye mwili wangu kwa njia yeyote ile, maana angeniacha vile, ningeenda kupiga punyeto.

"Nikuache kweli?" Husna aliniuliza huku akiniangalia usoni.

"Ndio...!"

"Mmmh muone kwanza, jibu lako na uso wako ni vitu viwili vinavyopingana!" Alisema Husna na kugeuka. Miguu yake akiiweka kule nilipokuwa nimeweka mimi kichwa, na kichwa chake akakipeleka kule kwenye miguu yangu. Tulilala kwa kutazamana, kila mmoja akiwa ameitazama sehemu ya siri ya mwenzake. Bila ya kuchelewa, Husna alianza kuuchezea uume wangu ambao ulishaanza kusinzia. Baada ya kuhakikisha kuwa uume wangu ulisimama imara, aliuingiza kinywani kwake na kuumung'unya. Mikono yake ilikuwa ikinishika shika katika bomba lililokati ya korodani na sehemu ya haja kubwa, kwani hii ni moja ya sehemu yenye kumuongezea msisimko mkubwa mwanaume. Nikipoona hivyo, niliona huo ndio ungekuwa ni muda muafaka wa kuthibitisha kuhusu bikra ya Husna.

Nilipeleka kidole changu ili kukisugua kisimi chake ambacho kilikuwa kimesimama na kuwa kigumu huku sehemu zinazozunguka zikiwa zimelegea kutokana na kulowana na ule ute uliotoka ukeni. Nilibadilisha kutoka kwenye kidole mpaka ulimi, ambapo niliona ndio ingekuwa njia rahisi pindi atakapokuwa amekolea kwa raha, ndipo ningetafuta ukweli juu ya suala hilo.

Nilimshika mapaja yake vizuri, ambayo yalikuwa yamebana kichwa changu vilivyo. Kwa kutumia mikono yangu, nilikuwa ninayapapasa huku nikiwa ninayaminya minya. Nilizamisha kichwa changu ili kuweza kupata eneo ambalo nilikuwa nimelikusudia, kisimi. Nilitoa ulimi wangu na kuanza kukilamba, na kuking'ata ng'ata kiufundi kiasi cha kutomuumiza.

"Oooohhhshhhhshh...." Zilikuwa sauti za mahaba za Husna baada ya kung'atwa ng'atwa katika kisimi.

Niliposikia vile, nilijua kuwa, utamu ndio ulikuwa unamkolea, hivyo nikaamua kuongezea chumvi, kitunguu, ndimu na pilipili kwa mbali. Muda wote, niliyakodoa macho yangu na kuwa makubwa kama goroli ili niweze kuona pale penye mlango wa uke, lakini sikuona kitu.

"Mmmh hili giza linaninyima raha!" Niliwaza moyoni mwangu.

"Labda nijaribu kuingiza vidole ndio nitapata uhakika!" Niliendelea kuwaza. Niliviandaa vidole vyangu viwili kwa kuvipaka mate yaliyochanganyika na ute ute uliotoka ukeni ili niviingize katika uke wa Husna, hivyo ndo ningepata uhakika. Niliendelea kulamba kisimi chake huku nikijiandaa kwa kile nilichokidhamilia...


Je atafanikiwa, itaendelea


 Jina la Simulizi: SHANGAZI II

Sehemu  ya       : SABA (7)

Mwandishi        : Aslam Khan

mawasiliano     : aslammusamail@gmail.com

                         

                        


Iliposhia...


"Abdam, twende bwana!" Alizidi kuongea Husna lakini macho yangu bado yalibakia kwa Asha. Husna alipoona hivyo, alisimama mbele yangu na kusogeza midomo yake kwenye midomo yangu kisha kuuingiza ulimi wake katika kinywa changu na kuuzungusha katika ulimi wangu. Hali ile iliufanya moyo wangu kupoa na uume wangu ulianza kusimama. Nikainua mikono yangu na kukishika kiuno cha Husna ambaye alivaa dela wenyewe wanaita kijola, na chupi tu ndani. 

"Abdam...!" Ilisikika sauti ya Asha ambaye alikuwa anainuka kutoka kitandani kuja nilipokuwa nimesimama na Husna.


Endelea...


Hali ile ilisababisha wote tubaki kumuangalia Asha anataka kufanya nini. Asha aliinuka toka kitandani huku uso wake ukiwa unabubujikwa na machozi.

"Abdam, tuondoke hapa!" Alisema Husna. Nami sikupinga, nilitekeleza amri ya Husna.

"Abdam, ndo unamsikiliza huyo malaya wako, Abdam tafadhali nisamehe!" Asha aliongea huku Thomas akibakia anamuangalia tu.

"Wewe mtoto, nani malaya?" Nilisema huku nikijiandaa kurudi nyuma kwenda kumkabili Asha.

"Abdam, achana nae bwana, nisikilize mimi, mimi si ndio niliyetukanwa, basi achana nae, tuondoke!"

"Sawa Husna!" Niliitikia na bila hiyana niliongozana na Husna mpaka chumbani kwake. Tulifika sebuleni na kujitupia kwenye kiti nikiwa siamini kile nilichokuwa nimekishuhudia dakika chache zilizopita. Kichwa changu kilitawaliwa na mawazo lukuki.

"Hebu chukua juisi hii upooze koo!" Husna alinistua kutoka katika mawazo yaliyokuwa yametawala ubongo wangu.

"Husna, siwezi kata kunywa, koo langu limefunga kabisa!"

"Nawe acha utoto, jikaze kiume, wewe ni mtu mzima na tambua kuwa kuna mtu anakutegemea umuongoze, utawezaje kumuongoza wakati jambo hili dogo linakutatiza mpaka sasa hivi?"

"Kuongoza, mie sio kiongozi!"

"Kila mwanaume, ni kichwa cha familia, hivyo lazima kuiongoza familia yako vizuri ili kuishi kwenye maadili yalio mema, usipokuwa wewe kiongozi, ndo mkeo ataongozwa na wanaume wengine sasa!"

"Husna, hebu tuachane na hayo, mie nimekwambia tu kuwa sijisikii kunywa juisi!"

"Sio kwamba haujisii kunywa, bali kilichotokea ndicho kinachokufanya usiweze kunywa, sasa mie nitakunywesha!" Alisema Husna huku akikisogeza kichwa changu kwake, na taratibu alianza kuninywesha juisi huku mkono mwengine akiwa ananipapasa papasa, hali iliyokuwa inanifariji sana. Taratibu moyo wangu ulianza kutulia. Husna aliendelea kunipapasa papasa sehemu mbali mbali za mwili wangu. Mwili nao ulianza kutii amri, nilianza kuhisi msisimko. Nilianza kuinua mikono yangu na kujibu mapigo kwa Husna, nilimpapasa kuanzia kiunoni, sehemu ambayo ilikuwa ni karibu zaidi kwa mikono yangu kuifikia. Kitendo kile, kilimfanya Husna aache kuninywesha juisi na kuiweka juu ya meza. Tulibaki tukiangaliana kwa sekunde kadhaa na bila ya kutegemea, tulijikuta midomo yetu ikiwa imekusana, na bila ya hiyana, tulianza kubadilishana mate huku tukiwa tunapapasana sehemu mbalimbali za miili yetu.

"Hapana Husna, mimi siwezi kufanya hivyo, mwili wangu hauna nguvu kabisa!" Nilisema mara baada ya Husna kufikia sehemu zangu za siri.

"Usijali Abdam, utapata tu nguvu!"

"Aaah hapana, muda umeenda sana, nahitaji kurudi nyumbani muda huu!"

"Aha, sawa, ngoja nikupe zawadi yangu kwanza ili usijisikie vibaya!" Alisema Husna na kuanza kunifungua zipu ya suruali yangu.

"Husna, nimekwambia muda umeenda, kwa hiyo tukianza kufanya hapa, si nitarudi usiku sana!" 

"Hatufanyi kitu, ila nakufanyia wewe ili mwili wako uwe mwepesi!" Alisema Husna na kuushika uume wangu na kuutoa nje. Aliishusha suruali yangu kwa mkono mmoja huku mkono mwengine akiwa anauchua uume wangu.

"Husna utaniumiza, chukua hata mafuta basi!" 

"Usiwe na haraka hivyo Abdam, kuwa mpole!" Alisema Husna huku akivua nguo zake na kubakia na chupi na sidiria tu pekee. Nilibakia nimetulia na kuwa mpole kama maji kwenye mtungi. Alimalizia kunivua boksa yangu na t-shirt niliyokuwa nimevaa, maana kwa haraka niliyokuwa nayo baada ya kupigiwa simu na Husna, hata vest(singlendi) sikuvaa. Alipanda juu yangu na kufikia katika kichwa changu tukiwa tumekutanisha midogo na kubadilishana mate. Mkono wake mmoja ulikuwa ukiuchua uume wangu taratibu. Msisimko ulizidi kuutawala mwili wangu, hivyo nikaamua kuitoa sidiria yake ili nicheze na matiti yake. Nilipoitoa, nilistaajabu na kuufanya mwili wangu uzidi kuwa na ganzi mno. Alikuwa na matiti yaliyouvutia moyo wangu, yakiwa yamesimama vizuri kama jua la saa sita mchana huku chuchu zake zikiwa ngumu na zilizovimba mno. Nilianza kubonyeza bonyeza chuchu zake na kusababisha atoe sauti za mahaba. Nilihamishia mikono yangu katika mbavu zake na moja kwa moja mpaka mgongoni. Niliupapasa mgongo wake huku nikishuka mpaka katika makalio yake na kuyaminya minya. Husna alipoona vile, alianza kunibusu kuanzia shingoni na taratibu akawa anashuka mpaka kifuani, tumboni na hatimaye chini ya kitovu. Alinyonya korodani zangu huku akiuchua uume wangu kwa mkono wake. Baadae aliuchukua uume wangu na kuuingiza mdomoni kwake na kuushughulikia. Kutokana na msisimko niliokuwa ninaupata, nilijikunja ili kuufikia mwili wake. Nilichezea matiti yake huku nikipekecha pekecha chuchu zake ngumu na kuzibonyeza bonyeza kiustadi. Nilimchezea kifua, masikio, shingo na tumbo. Niliushusha mkono wangu zaidi mpaka ndani ya chupi yake na kuanza kukichezea kisimi. Nilikisugua sana, mpaka uke wake ukawa umelowana kabisa. Niliona hiyo ndio nafasi yangu ya kula penzi lake na kuthibitisha juu ya bikra yake. Nilipeleka kidole changu ili nikiingize ukeni, Husna aliruka na kusimama. Hofu ya kukosa penzi ikaanza kunijia. Husna aliniangalia kisha nikamuona anavua chupi yake, hapo matumaini mapya yalinijia. Nilijua azma yangu inaenda kukamilika muda mchache ujao.


Je yatatimia???


 Jina la Simulizi: SHANGAZI II

Sehemu  ya       : SITA (6)

Mwandishi        : Aslam Khan


Ilipoishia...


"Nani tena huyo?" Yule msichana aliuliza. Sauti yake nilikuwa kama naifaham. Tom alitoka nje na kwenda kuongea na Husna ambaye alijifanya kuulizia namba zangu za simu huku Tom akisema hana namba zangu.

"Ulikuwa unaongea na nani?" Sauti ya mwanamke ilisikika ndani ya chumba cha Tom.

"Anataka namba za Abdam, ni jirani hapa!"

"Jirani ndo mwanamke, usiku huu, huyo ni demu wako!" Alilalamika, na kuifanya sauti yake isikike vizuri!"

"Ashaaaaaaaa!!!??????!!!!!...." Nilijikuta nikiropoka kwa sauti kubwa.

"Aaaaaaaah!" Sauti mbili kutoka katika chumba cha Thomas zilisikika zikishangaa kutokana na kusikika kwa sauti yangu.


Endelea...


Nguvu ziliniishia. Kichwa changu kilitawaliwa na mawazo lukuki juu ya uamuzi ambao ningeufanya sekunde chache zijazo. Niliwaza nikachukue kisu niwachome wote, mara akili nyengine ikanijia nijinyonge. Nilijitahidi kufikicha macho yangu ili niamke kwenye hii ndoto inayonitesa, lakini haikuwa ndoto. Niliwaza cha kufanya kwa muda kisha niliamua kwenda ndani, kwenda chumbani kwa Thomas kwa ajili ya kuanzisha vurugu na kutetea mali yangu. 

"Abdam, unaenda kufanya nini tena!" Husna aliniuliza mara baada ya kuniona nikiwa na hasira nikielekea chumbani kwa Thomas swali ambalo halikupata jibu tokea kwangu.

"We Abdam....!" Alisema Husna huku akinikimbilia na kunishika nisiende kule aliko Thomas. Nguvu zake zilikuwa ni ndogo sana kwa wakati ule. Nilimsukuma, lakini alining'ang'ania kwa kunikumbatia mgongoni.

"Husna, niache...!" Nilisema huku nikijaribu kumtoa asinishike.

"Abdam, hapana, usifanye hivyo!" 

"Husna, niache tafadhali!" Nilisema huku nikiwa nimekaribia kabisa kufikia katika chumba cha Thomas. 

"Achana nae bwana, wanawake si wapo wengi, utajaza watu hapa harafu itakuletea picha mbaya!"

"Husna, husna, husna tafadhali!"

"Nakuomba, nipo chini ya miguu yako, usigombane nao nakuomba Abdam, nitakupa chochote unachokitaka ila sio kugombana nao!"

"Poa, sigombani nao, niache niende!"

"Unanihakikishia hilo?"

"Ndio Husna, sigombani na mtu!"

Husna aliniacha kwa kuamini kuwa nisingeenda kuanzisha ugomvi.

"Funguo mlango!" Nilisema mara baada ya kufika mlangoni kwa Thomas

"Tumelala bwana, usitusumbue!" thomas alijibu

"Tom, fungua mlango, fungua mlangoo!" Nikisema huku nikiupiga piga mlango.

"Mbona kelele nyingi?" Tom aliuliza.

"Wewe si mwanaume, unaogopa nini kufungua mlango, si unajiamini wewe, fungua mlango tuongee kama wanaume!"

"Usifikiri nakuogopa au sijiamini!"

"Fungua sasa!" Nilisema kwa hasira.

"Ngoja, nakuja!" Alijibu Thomas kwa kujiamini na baada ya dakika kadhaa alifungua mlango!

"Haya unasemaje!"

"Shida yangu ni huyu malaya, na sio wewe!" Nilisema na kuingia ndani kwa nguvu na kumfanya Thomas kuanguka sakafuni.

"Weeeee ole wako umguse huyo!" Alisema Thomas lakini alikuwa ameshachelewa, kwani tayari nilishafika pale alipo Asha na kumchapa kibao kimoja kitakatifu kilichomdondosha mpaka kitandani.

"Kwa nini unanifanyia hivi Asha!" Niliuliza swali ambalo Asha hakunijibu badala yake alikuwa analia tu.

"Kwa nini, nakuuliza wewe kwa nini lakini?"

"Sikupendiiiiiiiiii.......!" Alisema Asha kwa sauti kubwa hali iliyonifanya mwili wote kuingiwa na ganzi na kujikuta bila ya kutegemea nikimpiga makofi mawili. Nilikuwa natetemeka kwa hasira. Nilijuta kwa nini nilikuja kushuhudia tukio kama hili, tukio linaloumiza moyo. 

"Unasemaje?" Niliuliza bila ya kushangaa kilichokuwa kimesikika.

"Sikupendi, sikupendi Abdam...tokaaaaaaa!" Alirudia tena Asha

"Wewe...we...." Nilisema kwa hasira iliyojawa na kigugumizi huku nikimsogelea ili nikampe kofi jengine.

"Tulia rafiki yangu!" Alisema Thomas huku akinishika

"Niacheee, sina urafiki na wewe...!" Nilisema huku nikiuondoa mkono wake kwangu

"Wewe mwanaume bwana, msikilize anachosema, amesema hakupendi, ya nini kutaka kuanzisha ugomvi tena, hebu fikiria kwani ulimkuta bikra huyu, hiyo inamaanisha wapo walioanza kupita. Nasikitika kukuambia kuwa kabla ya kwako, mimi ndiye niliyekuwa wa kwanza kabisa, na bikra yake ilikuwa ni mali yangu kwa maana nilimtoa mimi bikra. Unajua wapi, mimi ni mtu wa kigoma, na huyu Asha ni wa huko huko. Kijiji chetu kinaitwa mgambazi na huko ndiko tulipokuwa wapenzi. Kwa bahati mbaya yeye alitangulia kuja huku ila tulikuwa tunawasiliana kila siku. Nisifu tu mimi rafiki yako kwa kuvumilia sana na kuwa mpole pale ulipokuwa unalala nae kwenye kitanda changu. Sasa kwa bahati mbaya leo uvumilivu umenishinda na ndio maana nikaamua kutokuachia funguo za chumba changu. Kaka hii ni mali yangu, pole sana kwa maumivu. Najua inaumiza sana, ila lazima uukubali ukweli kuwa Asha sio mali yako, ni mali ya Tom, au Thomas. Wewe tafuta mwengine, na kuanzia leo sitaki kuona unampigia simu Asha, wala kuniomba chumba kwa ajili kulala na demu wako. Kinachonisikitisha zaidi, ulijifanya hutaki kuwa na mwanamke mwengine kwa kuamini kuwa Asha ni wako peke yako, hapo ulifeli, nakukumbusha kuwa siku zote lazima uwe na spea bwana, kama gari tairi zake mnabeba na spea, sembuse kwa demu, hasa kwa hawa wa karne hii wasioaminika, shauri yako utaumia sana tu, naomba uondoke sasa hivi chumbani kwangu tunataka tulale. Kwa leo nakusamehe kwa kumpiga mke wangu mtarajiwa, ila ikitokea siku nyengine, utanijua mimi ni nani!" Alimaliza Thomas na kunionyesha kuwa natakiwa kutoka chumbani kwake. Nguvu zilizidi kuniishia. Nilihisi nataka kudondoka. Miguu ilikuwa inatetemeka na kunifanya nishindwe kutembea. Machozi yalikuwa yananibubujika bila ya sauti ya kulia kutoka. Kamasi nazo hazikuwa mbali, zilikuwa kila muda zinachungulia chungulia. 

"Abdam, tuondoke!" Alisema Husna na kunishika mkono ili tuondoke. Nilishindwa kutembea.

"Abdam, mimi nipo, nakuahidi nitakufanyia kila kitu, nakupenda!" Alisema mbele ya Asha na Thomas. Asha alishangaa sana kusikia vile. Kiumbo na kisura, Husna alikuwa anavutia zaidi ya Asha. Pia alikuwa ana akili sana za kimaisha tofauti na Asha mwenye akili za kitoto kitoto.

"Abdam, twende bwana!" Alizidi kuongea Husna lakini macho yangu bado yalibakia kwa Asha. Husna alipoona hivyo, alisimama mbele yangu na kusogeza midomo yake kwenye midomo yangu kisha kuuingiza ulimi wake katika kinywa changu na kuuzungusha katika ulimi wangu. Hali ile iliufanya moyo wangu kupoa na uume wangu ulianza kusimama. Nikainua mikono yangu na kukishika kiuno cha Husna ambaye alivaa dela wenyewe wanaita kijola, na chupi tu ndani. 

"Abdam...!" Ilisikika sauti ya Asha ambaye alikuwa anainuka kutoka kitandani kuja nilipokuwa nimesimama na Husna.


Je kipi kitatokea? Usikose sehemu inayofuata



 Jina la Simulizi: SHANGAZI II

Sehemu  ya       : TANO (5)

Mwandishi        : Aslam Khan



Ilipoishia...


"Duh, ina maana wewe ni bikra?"

"Ndio Abdam!"

"Hahahahaha huo ndio uongo uliopitiliza hahahahah!"

"Hata sikudanganyi!"

"Hivi unafikiri nitakuamini kirahisi rahisi hivyo, unataka niingie kwenye mtego wako!"

"Abdam, nakupenda na sikudanganyi, je unataka nikuthibitishie hilo, nikuonyeshe kama sijawahi kukutana na mwanaume kimapenzi tangu nizaliwe?"


Endelea...


"Achana na hayo, harafu unajua unanishangaza Husna, basi tu!" Nilimwambia

"Kitu gani kinachokufanya unishangae hivyo?"

"Unatoa wapi ujasiri wa kuniambia maneno yote hayo?"

"Abdam, ujasiri ni asili ya mtu, mimi ni mtu mzima, najielewa na sijui kitu gani ambacho ni kigeni sana nilichokifanya mimi?"

"Tena unaongea bila ya aibu kwangu, mmmh!"

"Aibu, zama hizo zilishapitwa na wakati, kama utaishi kama hivyo si unaweza ukajikuta kitu ambacho kilikuwa chako unakikosa hivi hivi, mambo hayo ni ya kizamani. Mtu ukimpenda unamwambia, akikataa ndo changamoto zenyewe, tatizo liko wapi?"

"Aah sawa!"

"Nakusikiliza!"

"Husna, samahani sana, sipo sawa mwenzako!"

"Jambo gani hasa tofauti na hili linalokufanya uwe kwenye hali hiyo!"

"Unaona hili ni jambo dogo eeeh?"

"Abdam, unatakiwa kuwa shupavu, utakuja kujisababishia matatizo kutokana na mambo kama hayo!"

"Matatizo, matatizo yapo tu, lazima mtu utetee kitu chako!"

"Basi mimi nakuomba uende ukapumzike kwenu, ila simu usizime kwani nina kitu cha kukuonyesha ambacho haukijui!"

"Sasa si uniambie tu!"

"Hapana, wewe nenda kapumzike kwanza!" Alisema Husna huku akiniangalia kwa huruma.

Ilikuwa ni takribani majira ya saa kumi na mbili hivi, nilitoka chumbani kwa Husna na kuanza kuongoza kwenda nyumbani. Nilipofika nyumbani, hata hamu ya kula sikuwa nayo, nikaenda moja kwa moja kitandani. Lakini kutokana na joto kali la Dar es salaam, ilinilazimu kwenda kuoga, hivyo sikupinga. Nilienda kujimwagia maji na kurudi chumbani kwangu!

"Abdam, chakula tayari!" Mama aliniita 

"Najisikia kama kushiba shiba hivi!"

"Mbona haujasema kama tusikujumuishe pamoja, sasa harafu nimeshapakua, njoo ule!" Alisema mama hali iliyonifanya nisiweze kupinga kauli yake. Nilitoka chumbani kwangu na kwenda sebuleni, sehemu iliyokuwa imeandaliwa chakula. 

"Jiandae andae bwana, wiki inayo tu, uende ukasafishe macho!" Alisema baba.

"Sawa, ila nako si mjini tu kama huku?"

"Mji kila sehemu upo, usiwe na shaka kabisa!"

"Na ukienda huko, ukatulie hukoo!" Alisema mama

"Hilo halina shida sana kwangu!" Nilijibu kwa kujiamini. Tuliendelea kula huku tukiwa tunaongea hili na lile. Tulipomaliza, ndugu yangu aliondoa vyombo na mimi nikaingia chumbani kwangu huku nikiwa nawaza kuhusu tukio lililotokea mchana. Niliamua kumpigia simu Thomas ili nimlaumu kwa kumkejeli kwa kitu alichonifanyia lakini nikifanikiwa kutumia chumba cha Husna. Nilipiga simu, haikupokelewa kwa mara ya kwanza. Nilipiga tena, ndipo ilipopokelewa.

"Halooo!"

"Mambo Tom!"

"Safi tu, niambie!" Aliongea kwa sauti iliyokuwa inasikika ikiwa imejaa uchovu au usingizi, sauti ya kivivu.

"Freshi, naona leo umeamua kunikomoa, sio?"

"Kukukomoa kivipi mdau?"

"Tumekubaliana vizuri, harafu umenifanyia nini sasa?"

"Kukufanyia kitu gani?"

"Dah, jamaa yangu si tumekubaliana nije kuchukua funguo harafu umenitosa hivi hivi!"

"Kwani chumba chako au changu?"

"Dah, cha kwako bro!"

"Basi poa, nimechoka muda huu, acha nipumzike na mama watoto hapa!"

"Aha, kumbe ukiwa na demu ndo unanijibu jeuli hata mimi, nitakuja kumtimua huyo!" Nilitania

"Njoo ufe kwa presha...!"

"Kwa nini unasema hivyo?"

"Umenikatishia mechi bwana, na mechi ya leo ni kali kweli kweli, wewe nitafute kesho, ila chumba changu sitaki, nataka kuoa!"

"Mmmmmmm....h!"

"Yah, ujumbe umefika!"

"Duh...!"

"Ndo hivyo!"

"Mmmhh....oooooohh... Baby.... Achan....naaa... Na ....mpuuzi huyooooo.... Nata....kaaaa....yote...... Siku....baniiiiiiiiiiiiiiiii!" Nilisikia sauti ya mwanamke akilalamika kimahaba kutokana na raha ya tendo la ndoa.

"Duh, mimi ndo mpuuzi?"

"Tena zaidi ya ulivyosikia, siku moja utakuja kujua kwa nini wewe ni mpuuzi!" Alijibu Thomas na kukata simu. Nilifikiria sana maneno ya Thomas yalikuwa yanamaanisha nini, lakini sikuwa na jibu. Niliamua kumpigia simu Husna, kwa sababu mara nyingi huwa alikuwa ananiliwaza ninapokuwa na mawazo.

"Husna!"

"Niambie Abdam!"

"Dah, mwenzio hapa sipati usingizi kabisa!"

"Lazima usipate, ila wakati mwengine inabidi ukubaliane na ukweli halisi ili uishi vizuri!"

"Sasa nampigia simu Thomas, alichonijibu na kunifanyia, sijaamini kabisa yaani!"

"Sikia, adui mara nyingi hujifananisha na wewe ili usimjue!"

"Kwa nini unasema hayo?"

"Njoo sasa hivi, nataka kulala nawe kuna baridi sana eti!"

"Acha utani bwana, unajua niko serious?"

"Najua, basi njoo mara moja kuna kitu unatakiwa kukijua!" 

"Kwa nini usiniambie tu!"

"Wewe si uje bwana, unajua mimi nakusaidia wewe, harafu naona unazingua zingua!"

"Dah, usijali, nakuja!" Nilimjibu, huku nikiinuka toka kitandani. Ilikuwa yapata saa tano hivi za usiku. Nilivaa nguo zangu na kutoka nje, kuelekea kwa Husna. Nilipofika niligonga mlango wa chumba anachoishi Husna. 

"Ooh umefika?" Alisema Husna mara baada ya kutoka nje.

"Mbona unauliza jibu, hapo bado kuchukua rula na kupigia mstari tu ulionyooka!"

"Sawa, sasa nenda katika dirisha la rafiki yako ukasikilize!"

"Usinichoshe bwana, nimepita anafanya mapenzi, sasa nikasikilize nini?"

"Inaonyesha haujagundua kitu, nenda harafu mimi naenda kumgongea!"

"Sawa!" Nilijibu huku nikienda karibu na dirisha na kukaa nikisikiliza sauti zinazosikika tokea ndani. Sauti zile zilikuwa zinaniumiza kwa kiasi kikubwa. Mara mlango wa chumba cha Tom uligongwa.

"Dah!" Tom alilalamika.

"Nani tena huyo?" Yule msichana aliuliza. Sauti yake nilikuwa kama naifaham. Tom alitoka nje na kwenda kuongea na Husna ambaye alijifanya kuulizia namba zangu za simu huku Tom akisema hana namba zangu.

"Ulikuwa unaongea na nani?" Sauti ya mwanamke ilisikika ndani ya chumba cha Tom.

"Anataka namba za Abdam, ni jirani hapa!"

"Jirani ndo mwanamke, usiku huu, huyo ni demu wako!" Alilalamika, na kuifanya sauti yake isikike vizuri!"

"Ashaaaaaaaa!!!??????!!!!!...." Nilijikuta nikiropoka kwa sauti kubwa.

"Aaaaaaaah!" Sauti mbili kutoka katika chumba cha Thomas zilisikika zikishangaa kutokana na kusikika kwa sauti yangu.


Je nini kitatokea...... Usikose sehemu inayofuata.

Itaendelea

!




 Jina la Simulizi: SHANGAZI II

Sehemu  ya       : NNE (4)

Mwandishi        : Aslam Khan



Ilipoishia...


"Halooo shemeji!" Ilikuwa sauti ya Monica rafiki yake Asha.

"Halooo, niambie!" 

"Safi tu, kwani Asha yupo kwako?"

"Hapana, alikuwepo ila amesharudi kama masaa mawili yaliyopita!"

"Aha, sawa!"

"Kwani umeenda kuulizia kwao, hayupo?"

"Ndo nipo hapa, wamesema ameaga anatoka tangu asubuhi na atarudi kesho mchana!"

"Duh!" 

"Pole shem, najua haupo peke yako katika hii dunia!" Alisema Monica na kufanya niwe na presha. Nilikataka simu kwa hasira.


Endelea...


"Vipi tena, kuna nini?" Husna aliniuliza mara baada ya kukata simu.

"Aaah hamna kitu Husna!" Niliongea huku nikimuangalia usoni.

"Wewe sema nitakusaidia!"

"Huwezi kunisaidia, kuna mtu hapa amenipigia simu anasema Asha hayupo kwao, wakati mimi alishaniambia kuwa alishafika kama masaa mawili hivi yaliyopita. Mbaya zaidi anasema anajua sipo peke yangu, najua anachokitaka huyu msichana, ananiletea maneno ili awe na mimi, nawajua hawa!" 

"Aha, kumbe ndo hivyo tu, sasa wewe tatizo lako lipo wapi, mbona jambo dogo sana hilo!"

"Kivipi?"

"Mpigie simu huyo mpenzi wako yeye atakuambia yupo wapi!"

"Aha, ni sahihi!" Nilijibu huku nikiishika simu yangu na kuanza kuipiga namba ya Asha. Iliita mara ya kwanza, haikupokelewa. Ya pili haikupokelewa. Ya tatu, haikupokelewa. Ya nne haikupokelewa. Presha ilinipanda huku nikianza kuamini maneno ya Monica. Nilijaribu kupiga tena, safari hii ilikatwa.

"SAMAHANI, SUBIRI KIDOGO!" Iliingia meseji mara baada ya simu kukatwa. 

"Kwani unafanya nini?" Niliituma sms, haikujibiwa.

"Asha!" Nilituma nyengine haikujibiwa. Niliamua kupiga simu. Ilikatwa. Nilipopiga tena ilikuwa haipatikani, nilifikiri labda ni matatizo ya mtandao. Nilijaribu kupiga tena lakini haikupatikana pia kuashiria haikuwa hewani.

"Vipi?" Husna aliniuliza

"Hapatikani!"

"Pole sana!" Husna alisema huku akinikumbatia. Nilihisi kufarijika sana kutokana na kile kinachonisibu. Nilijikuta nainua mikono yangu na kumshika mgongoni.

"Unajua kuna vitu vyengine unatakiwa uvijue, siku nyingi tu nilikuwa nakuonea huruma kwa sababu kuna vitu ambavyo hauvijui!"

"Vitu gani hivyo!"

"Utakuja kujua kama ukitaka!"

"Niambie, nipo tayari kujua!"

"Utakuja kujua, usijali, nikuulize?"

"Hamna shaka, niulize tu!"

"Umelifikiria ombi langu, unaweza kunipa jibu langu?"

"Husna, unanipa mtihani mzito sana!"

"Kwa nini?"

"Dah!"

"Kwani mimi sifai kuolewa na wewe!"

"Unaweza ila siwezi!"

"Sawa, ila mimi sina tatizo saana nitakusubiri mpaka siku ukitaka, hata kama miaka kumi, sio mbaya!"

"Acha uongo, miaka kumi unanisubiri mimi tu, acha kuniongopea!"

"Aaah moyo tu, kila kitu ukiamua na kujitolea kwa moyo wote, kinawezekana, nimeamua kukupenda kabisa, na sijui kwa nini moyo wangu umekuwa hivyo!"

"Hivi Husna, hauna mwanaume, manake nimejiachia tu hapa nisije nikachinjwa hapa!"

"Hakuna atakayekuchinja kwa ajili yangu, labda utachinjwa kwa sababu ya huyo demu wako, si mimi!"

"Hizo habari tuachane nazo basi!"

"Sawa, sina mwanaume mimi!"

"Na chumba na sebule anakulipia nani, na hivi vitu vyote vilivyokuwepo ndani, nani analipa?"

"Nalipia mimi mwenyewe!"

"Unafanya kazi gani, au ndo unadanga?"

"Abdam, naomba tuheshimiane!"

"Samahani sana, ila nilitaka kujua!"

"Mimi sina mambo hayo!"

"Nitaamini vipi sasa?"

"Nioe ndo utaelewa!"

"Mmmh!"

"Sikiliza Abdam, mimi nakupenda na pia mimi sio muhuni, nina kazi yangu na ndio inanifanya nijilipie hivi sehemu ya makazi na maladhi kwa ujumla, kama ukiwa tayari kunioa, utaijua kazi yangu!"

"Yaani umeniona leo tu harafu unataka nikuoe, kweli lakini?"

"Kukuona leo, sio leo tu. Kwani ni mara ngapi huwa unakuja hapa. Mimi huwa nakuona unakuja hapa na ninakuonea huruma sana, ila sikulazimishi maamuzi ni yako!"

"Una umri gani kwani?"

"Miaka ishirini na tano?"

"Miaka ishirini na tano, mwanamke harafu hauna mwanaume, kweli?"

"Ndio, sina mwanaume!"

"Umegombana nao?"

"Nimekwambia ni maamuzi tu, nilikuwa namsubiri ambaye atakuwa sahihi kwangu!"

"Kwa hiyo mimi ndo sahihi?"

"Kama ulivyosema, haujakosea!"

"Ina maana wanaume wote uliokuwa nao huko nyuma, hakuna hata mmoja uliyemuona kuwa ni mwanaume sahihi kwako?"

"Sijawahi kuwa na mwanaume tangu nizaliwe mimi?"

"Husna, acha uongo, unajua mimi sipendi uongo!"

"Najua kama hupendi uongo na ndio maana nakuambia kuwa wewe ndiye mwanaume sahihi kwangu!"

"Duh, ina maana wewe ni bikra?"

"Ndio Abdam!"

"Hahahahaha huo ndio uongo uliopitiliza hahahahah!"

"Hata sikudanganyi!"

"Hivi unafikiri nitakuamini kirahisi rahisi hivyo, unataka niingie kwenye mtego wako!"

"Abdam, nakupenda na sikudanganyi, je unataka nikuthibitishie hilo, nikuonyeshe kama sijawahi kukutana na mwanaume kimapenzi tangu nizaliwe?"



 jina la Simulizi: SHANGAZI II

sehemu ya       : TATU (3)

Mwandishi:      Aslam Khan


Ilipoishia... 

"naumia....!" nilimwambia mara baada ya kuona naumia katika uume wangu kutokana na kugusa zipu ya suruali yangu. Aliacha na kunivua suruali kisha boxer na kufanya nibaki kuwa uchi kabisa. Tulibadilishana mate tukiwa tumelala kwa kuangaliana, huku mkono wake ukiwa katika uume wangu akiuchua taratibu. Niliamua kuushusha mkono wangu katika chupi yake, nilishangaa kwa jinsi ambavyo uke wake ulivyokuwa umevimba sana. Hali ile ilinifanya nizidi kupagawa huku joto likizidi kupanda katika mwili wangu. Niliingiza mkono mpaka ndani ya chupi yake. Dah nilichokutana nacho, sikuamini. Nilistuka sana, nilikasirika na kutamani kumpiga au hata kumtusi. 

"pediiiiiiiiiiiii...........????!!!! " nilijikuta nitauliza swali ambalo jibu lake tayari ninalo


Endelea... 

"ndio, hauzijui?"

"sasa kwa nini umevaa pedi, kwa nini unajua kuwa unakuja huku harafu hauniambii kama upo kwenye siku zako?"

"hahahaha nani amekuambia kama na mimi nina siku zangu, siku zote za mungu bhana!"

"unajua umeniudhi harafu unaniletea utani, unajua unazidi kunikasirisha wewe?" nilimwambia kwa hasira huku nikinyanyuka toka kitandani. 

"hebu njoo, unaenda wapi sasa?" alisema Asha bila ya kuonekana kuwa na mashaka yeyote. 

"sitaki, hebu achana na mimi!" nilimjibu huku nikiuondoa mkono wake juu ya mwili wangu. 

"wewe njoo, mie wala siko kwenye hedhi wala nini!" alisema Asha na kunivutia kitandani, nilikosa balance, nikaangukia kitandani. Asha aliitoa pedi na kunionyesha kuwa ilikuwa kavu na pia yeye hakuwa katika siku zake za hedhi. 

"nimekufanyia sapraizi (suprise) na mpaka umekasirika, niliamua kukupima tu, ila pia nilitaka kujua kama unazifuatilia siku zangu za hedhi, ina maana ukinipa mimba si utakataa! "

"aaah mambo hayo sio wakati tayari nimepandisha moli, angalia sasa, nilisimamisha ila sasa hivi umelala, tunaanza upya, huo ni upuuzi!"

"hii mbona ni kazi ndogo tu!" alisema asha, na kuushika uume wangu uliokuwa umeregea kama bigjii(bubble gum). Aliuchua na mkono wake huku akiongezea na mate kidogo ili kupata uterezi katika mkono. Taratibu, msisimko ulianza kunijia hivyo, nilianza kumshika sehemu mbali mbali za mwili wake. Nae aliongeza kasi ya kunichua huku mara kadhaa akiutia katika mdomo wake. Msisimko ulizidi kunikolea na kujikuta naupeleka mkono wangu katika tumbo lake, huku nikishuka chini zaidi. Nilishuka mpaka katika sehemu zenye maoteo ya nywele,lakini kulikuwa na jangwa lililokauka na ukame kwa kukosa rutuba ya kuotesha nyasi nyasi. Nilishuka chini zaidi na kufika bondeni kukiwa na milima kila upande. Nilianza kukisugua kisimi, hali ile ilimfanya aanze kujinyonga nyonga na kupandisha kiuno kwa juu. 

"mmmmmh... Ooooohhh... Shhh&hh!" zilisikika sauti tokea kwake. Niliongeza kukisugua sugua kisimi chake ambacho kilionekana kuchomoza kwa nje kidogo kutokana na msisimko mkubwa alioupata. 

"mmmmhh...... Aaaaaaaaaghhhhhh!" alizidi kutoa sauti hizo huku akiuzamisha uume wangu wote mdomoni kwake na kuanza kuunyonya hali iliyonifanya kuhisi kama nataka kumwaga shahawa vile, maana msisimko uliongezeka mara dufu. Sikutaka kufanya ajizi, niligeuka na kuweka kichwa changu upande ulio uke wake na kumuachia uume wangu aushughulikie. Niliutoa ulimi wangu na kuanza kukilamba lamba kisimi chake huku nikiwa nayonya na wakati mwengine kuking'ata ng'ata. 

"oooh...... Baaabyyyyy!"

"mmmmmhhhhhhh.......!" niliitikia kwa mtindo wa kuguna kutokana na raha niliyokuwa ninaipata. 

"endeleaaaaaaaaaaaaaa.... Oooohhhh shhhh...... Aaaaah my... My..... My.....!" ziliendelea kusikika sauti hizo. Nilikizamisha kidole changu cha kati ukeni, ambapo hakikupata shida kuzama kwa sababu tayari uke ulikuwa na ute ute wenye utelezi wa kutosha.

"Oooooooooooohhhhhhhhh" alitoa sauti huku akipandisha kiuno kwa juu na kurudisha makalio kwa chini hali iliyofanya kidole kibanwe sawa sawa na uke wake. Niliendelea kukilamba lamba na kukinyonya kisimi chake huku nikiingiza na kutoa kidole changu ukeni kwake. 

"Ooooh!" Zilisikika sauti za mahaba zilizotokana na raha. Nilipoona uke wake tayari umekuwa tayari kwa maandalizi ya kutosha, niligeuka na kumwambia alalie tumbo. Nilichukua mto wa kulalia na kuuweka kiunoni kwake ili aulalie na kufanya uke wake kurudi kwa nyuma. Niliushika uume wangu na kuanza kuuingiza taratiibu. Nao bila ya hiyana, uliingia bila ya kulazimishwa. Nilianza kuingiza na kutoa taratibu. Kadri muda ulivyokuwa unaenda, ndivyo nilivyokuwa ninaongeza kasi ya kuingiza na kutoa. Baada ya muda, nilimgeuza na kumfanya alale chali, kifo cha mende. Nilimlalia ili niweze kuipata shingo yake vizuri pamoja na mdomo wake. Nilikunywa lita kadhaa za mate, kisha nikaanza kulichezea sikio lake kwa kutumia ulimi wangu. Hali ile ilimuongezea msisimko zaidi na kuanza kupandisha na kushusha pumzi haraka haraka. Mkono wangu mmoja ulikuwa unachezea nywele zake na ulimi ulikuwa unashughulika na sikio lake moja. Nilizungusha kwanza ulimi wangu kulizunguka sikio kwa nje, kisha nikafika mpaka kwenye tundu lenyewe. 

"Ooooohhhh.....jam....naa.....jama.....niiiiiiiiiiiiiii............ Nata......ta.....taaaakaaaaa!" Alitoa sauti zisizoeleweka. Baada ya dakika kadhaa, uume wangu ulikuwa unaelea elea ndani ya uke wake, hivyo nikajua tayari alishamaliza. Nilianza kuforce na mimi nimalize ambapo baada ya dakika saba, nilifanikiwa. Tuliamua kupumzika kidogo.

"Asha....!" Nilimuita huku nikimsogeza kifuani kwangu.

"Niambie mpenzi!"

"Nimekuita kuna kitu hapa nataka kukuambia!"

"Niambie tu, usijali!"

"Mjomba amepiga simu jana, amesema anataka niende mkoani nikatembee na kukaa kama mwezi hivi!"

"Aha...sawa hamna shida mie nipo!"

"Mmmmh"

"Mbona unaguna?"

"Hamna kitu!" Nilijibu huku nikianza kumpapasa.

"Aaah mimi sitaki kuendelea, tafadhali!"

"Kwa nini sasa?"

"Nimechoka tu, nataka nilale kidogo!"

"Mmmh sawa!" Nilijibu kwa shingo upande. Tulilala na kupitiwa na usingizi. Nilikuja kuamshwa na mlio wa meseji wa simu. Nilipoisoma, alikuwa Husna akiulizia kama tumemaliza. Nilimuamsha Asha na kumwambia akaoge, alipomaliza tulichukua chakula na kula kisha nilimsindikiza Asha kituo cha daladala. 

"Wewe rudi, kaweke mazingira vizuri, manake najua pale sio chumba chako!"  Alisema Asha.

"Sawa, basi ukifika, nijulishe, na chukua hii uongezee nauli!" Nilimwambia huku nikimpatia noti ya shilingi elfu kumi.

"Sawa, ahsante sana mpenzi wangu!" Alisema Asha huku akinibusu katika paji la uso bila ya kujali wapita njia na watu waliokuwepo pale. Nilirudi ili kwenda kuweka mazingira vizuri, nilipofika nilimkuta Husna ameshafika na alikuwa anasafisha na kutandika kitanda.

"Duh, samahani sana!" Niliomba msamaha kwa Husna.

"Hamna shida, usijali!" Husna alijibu. Sms iliingia katika simu yangu kutoka kwa Asha akisema alishafika kwao.

"Enhe, kwa hiyo umefikiria na jibu langu unalo kwa sasa?" Husna aliniuliza. Kabla sijajibu, simu yangu iliita.

"Halooo shemeji!" Ilikuwa sauti ya Monica rafiki yake Asha.

"Halooo, niambie!" 

"Safi tu, kwani Asha yupo kwako?"

"Hapana, alikuwepo ila amesharudi kama masaa mawili yaliyopita!"

"Aha, sawa!"

"Kwani umeenda kuulizia kwao, hayupo?"

"Ndo nipo hapa, wamesema ameaga anatoka tangu asubuhi na atarudi kesho mchana!"

"Duh!" 

"Pole shem, najua haupo peke yako katika hii dunia!" Alisema Monica na kufanya niwe na presha. Nilikataka simu kwa hasira.



 jina la Simulizi: SHANGAZI II

sehemu ya       : PILI(2)

Mwandishi:      Aslam Khan

Ilipoishia... 

"sahamani, simu unayopiga haipatikani mwaka huu!" yalikuwa ni maneno niliyoyasikia baada ya kuendelea kupiga simu kwa muda mrefu. 

"dah, ina maana ameamua kunizimia simu, dah!" wakati nasikitika, simu yang iliingia meseji, nikajua labda Tom atakuwa amenitumia

"baby, mie ndo nipo kwenye gari hapa, tunakaribia kufika" 

"dah!" nilizidi kuchanganyikiwa mara baada ya kupokea meseji hiyo. 

"pole sana kaka angu, abdam, najua kinachokutatiza, ila mie nilimsikia Tom akisema tangu jana kuwa anataka kuwakomesha, ila usijali!" alisema yule dada huku akinishika begani. 

"mmmmh!" niliguna

"mimi nitakusaidia, ila kwa masharti!"


Endelea.... 


"masharti tena??" niliuliza kwa mshangao

"Ndio, hutaki?"

"sawa, nipo tayari, ehee, utanisaidiaje?"

"mimi nitakuachia chumba changu, nitatoka niende kwa rafiki zangu kutembea kwa ajili yako!"

"sawa, na hayo masharti, ni masharti gani?"

"wewe usijali, mbona unakuwa na pupa hivyo, kwani hako kademu kako kimefikia wapi?"

"dah, anakaribia, ila usimuite kademu bwana, mimi sipendi kuwaita wasichana mademu, sipendi kabis!"

"sawa, sasa muda wa kurudisha funguo nitakuambia masharti niliyokuwa ninayataka, ila je unakubaliana na masharti yangu, au niondoke na funguo zangu?"

"sina njia nyengine zaidi ya kuyakubali, nakubali ndio!"

"una uhakika?"

"ndio!"

"sawa, njoo ndani uandae mazingira" alisema na kuingia chumbani kwake. Nilimfuata kwa nyuma na kuingia ambapo alikuwa amepanga chumba na sebule. Nilipoingia, nilishangaa kuona hali ilikuwa tofauti kwani nilifikiri ningekuta kumevurugikavurugika, ila kila kitu kilikuwa kipo sawa na hakukuwa na sababu yeyote ya kwenda kuandaa mazingira. 

"karibu Abdam!"

"ahsante, ila samahani, naweza kulifahamu jina lako?"

"oooh tatizo lako unajifanya mpoleeee kumbe unafanya mambo yako kimya kimya, sawa naitwa Husna!" alijibu huku akienda kufungua friji na kutoa glasi mbili na kutia juisi ya matunda kisha akaja pale nilipokaa. 

"karibu sana!" alisema huku akinipatia glasi moja. Moyo wangu ulisita kuipokea. 

"Husna.... "

"usiogope, mimi siwezi kukufanyia kitu kibaya!" alisema huku akaiweza bilauli yake iliyojaa juisi mezani na kunitomasa tomasa pajani. 

"Oooh!"

"samahani, hebu njoo huku chumbani, nikuonyeshe,ili usipate tabu! " alisema huku akiongoza chumbani kwake nami nikimfuata kwa nyuma. Ilikuwa ni sehemu nzuri sana, tofauti na chumba cha Thomas. Hewa ilikuwa safi, harufu nzuri ndio iliyokuwa inatawala katika matundu ya pua. 

"mmmh pazuli kweli!" nilisema. 

"umepapenda?"

"ndio, tena sana tu!"

"sawa, ila nataka uwe mume wangu!"

"Aaaaaah!"

"vipi, hutaki niondoke na funguo zangu?"

"hapana, basi nitakupatia jibu baadae, manake amenitumia meseji amesema amefika!" nilimjibu Husna ambaye alikuwa mrembo zaidi kuliko mpenzi wangu, Asha. 

"sawa, mie wala sina wasi wasi, funguo hizi hapa, juisi ya kutosha ipo katika friji, matunda, na vyakula ukiangalia utavikuta, jisikie upo nyumbani. Ukishindwa kutumia kiyoyozi, basi utawasha ile feni pale!" alisema Husna.

"sawa, nashukuru sana Husna!"

"poa, baadae!"

"okay!" niliagana na Husna na nikachukua funguo na kufunga baada ya yeye kuondoka. Nilimfuata Asha ambaye alikuwa ameshafika kituoni akinisubiria mimi tu. 

"mambo vipi?" nilimsalimia

"poa, mbona umechelewa sana kuja?"

"aaah nilikuwa nimelala bwana, nikajisahau!"

"sawa!"

Tulienda moja kwa moja mpaka katika chumba cha Husna ambaye aliniambia nisijikie kama nyumbani kwangu. Nilifungua friji na kuchukua mkate na juisi na kumpatia Asha. 

"vipi, wewe haunywi?"

"mie nimeshiba, kula tu wewe!"

"mmmmh sawa!" alijibu Asha kinyonge na kuanza kula. Tuliongea mambo kadhaa wakati anakula. 

"ahsante kwa chakula!" alisema mara baada ya kumaliza kula. 

"sawa, usijali!" nilimjibu huku nikianza kumshika shika katika sehemu mbali mbali za mwili wake. 

"Abdam!"

"niambie!"

"nakupenda sana!" alisema huku akisogeza midomo yake kwangu. 

"nakupenda pia!" nilimjibu huku nikimshikilia kichwa chake ili niweze kunywa mate vizuri. Nae alianza ligi, kwani alianza kupitisha mikono yake ndani ya shati langu huku akipapasa kifua na kushuka mpaka tumboni hali iliyonifanya niwe na msisimko wa hali ya juu. Nami nikaanza kujibu mapigo. Niliipandisha juu blauzi yake na kuitoa kabisa ili isiniletee shida. Nikatoa na sidiria aliyoivaa na kufanya matiti yake ya wadogo kuwa wazi. Nilipekecha pekecha chuchu zake ngumu, ugumu uliotokana na msisimko uliokuwa umetawala katika mwili wake. 

"nina sapraizi (surprise) kwa ajili yaki baby!" alisema Aziza kwa sauti iliyojaa mahaba. 

"ooh nitafurahi sana!" nilisema huku nikitunisha kifua nikijiona kuwa ni mwanaume hasa, niliyetimia. 

"basi usijali, tuendelee kwanza!"

"okay!" nilijibu huku nikimlamba lamba, kumnyonya na kumng’ata ng'ata shingoni kwake hali iliyomfanya kurudisha makalio yake kwa nyuma huku tumbo likipanda kwa juu. Niliona utamu umeanza kumuingia, hivyo nilizidi kuongeza ufundi na kushuka mpaka katika matiti, nikitumia mdomo kumnyonya chuchu huku titi jengine nikiwa natumia mkono kumminya minya. 

"mmmmmh...... " alitoa sauti za mahaba. Niliendelea hivyo huku mkono wangu ukishuka mpaka tumbo lake na kuuzungusha katika kiuno mpaka kufikia katika mbavu changa. 

"ooohhhhhsg&hhh.......hhhhshhhhhhooaaaaa aaaaagggh!" aliendelea kutoa sauti hizo huku akikiinua juu kiuno chake. Niliona hapa ndio muda muafaka wa kukamilisha jambo langu kabla Husna hajarudi. Nilimbeba na kuingia nae chumbani kisha nikamlaza kitandani. Nilipomlaza kitandani, alinivamia na kufungua zipu ya suruali yangu na kuutoa uume wangu nje. Alianza kuuchua kwa kutumia mkono. Alifanya hivyo kisha akauingiza mdomoni na kula kijiti cha pipi,huku pipi yenyewe akiwa anaichezea chezea tu. 

"naumia....!" nilimwambia mara baada ya kuona naumia katika uume wangu kutokana na kugusa zipu ya suruali yangu. Aliacha na kunivua suruali kisha boxer na kufanya nibaki kuwa uchi kabisa. Tulibadilishana mate tukiwa tumelala kwa kuangaliana, huku mkono wake ukiwa katika uume wangu akiuchua taratibu. Niliamua kuushusha mkono wangu katika chupi yake, nilishangaa kwa jinsi ambavyo uke wake ulivyokuwa umevimba sana. Hali ile ilinifanya nizidi kupagawa huku joto likizidi kupanda katika mwili wangu. Niliingiza mkono mpaka ndani ya chupi yake. Dah nilichokutana nacho, sikuamini. Nilistuka sana, nilikasirika na kutamani kumpiga au hata kumtusi. 

"pediiiiiiiiiiiii...........????!!!! " nilijikuta ninauliza swali ambalo jibu lake tayari ninalo. 


Nini kitaendelea. 

Usikose sehemu inayofuata



 jina la Simulizi: SHANGAZI II

sehemu ya       : KWANZA

Mwandishi:      Aslam Khan

mawasiliano  : 0787 378 393

                         : 0768 965 020

                         : 0627 676 104


Ilikuwa ni asubuhi, siku ambayo nilichelewa kuamka kutokana na uchovu mwingi uliipitiliza uliotokana na kazi nguvu niliyoifanya siku moja iliyopita. Nilienda nje ambapo nilipofika sebuleni,  nilimkuta baba akiwa anaangalia taarifa ya habari ya saa tano katika runinga. 

"habari ya asubuhi baba? " nilimsalimia

"nzuri tu,  umeamkaje? " 

"mimi sijambo baba,  shikamoo!" 

"marhaba, vipi mbona leo umechelewa kuamka sana hivyo?" baba aliniuliza

"labda ni kwa sababu ya uchovu tu, si unajua kazi zetu zenyewe za kuunga unga hizi!"

"mimi nilijua kwa sababu leo ni jumapili ndio maana ukaamua kuchelewa kuamka!"

"hapana baba, ni uchovu tu! "

"sawa,  sasa hapa kuna taarifa inayokuhusu wewe!" baba aliniambia

"taarifa gani tena?"

"mjomba wako amepiga simu amesema anataka uende ukatembee!"

"mjomba gani, wa mtwara?" niliuliza

"ndio,  na amesema wiki ijayo atakutumia nauli ili uende!" alisema baba huku akiniangalia. 

"tooobaaaaaa!" nilijikuta neno likitoka mdomoni kwangu pasi na kutarajia

"vipi tena?" baba aliniuliza kwa mshangao

"yale yale!" nilisema

"wewe mtoto, mbona sikuelewi?"

"samahani baba,  mawazo tu mengi!"

"umeshaanza kuvuta mibange sio?"

"hapana,  mawazo tu, nipo mbali sana!"

"aha, kumbe mimi naongea na wewe harafu unanidharau?"

"samahani baba!"

"jiandae, wiki ijayo safari ya Mtwara!"

"sawa baba!" nilijibu huku nikiingia chumbani kwangu.  Nilichukua simu na kuanza kuwasiliana na mpenzi wangu kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi. Ilichukua takribani dakika kumi mpaka alipokuja kujibu ujumbe wangu, nilimuomba tuonane siku inayofuata kwa sababu nilikuwa na kitu cha kumuambia. 

"mambo vipi Tom?" nilimsalimia rafiki yangu aitwae Thomas ambaye tulizoea kumuita Tom, hiyo ni baada ya kwenda sehemu anapoishi. 

"safi tu, nipange!"

"dah,  ebwana vipi kuhusu kesho?"

"kuhusu nini sasa?" aliuliza huku akionekana kunishangaa

"aaah hujui bwana, nazungumzia ghetto, kuna mtu aliyeweka oda(order)?"

"hahaha nilijua tu, harafu hizo tabia zenu za kuchafua mashuka harafu hata kufua hamfui, sizipendi kwanza hamlipii, munaacha maganda ya ndizi, mara michupa ya juisi, mara viepe, na wakati mwengine kondom, tunatamanishana tu, siku nyengine nitakuja tuchangie wote humu, ohooo!" Thomas alisema huku akiwa anacheka. 

"hahahaha unamaanisha mtungo au? "

"wewe jichekeshe tu! "

"sasa sikiliza, mjomba bwana amepiga simu anataka wiki ijayo niende, dah sasa ndo nataka nimpange Asha, sijui atanielewa?"

"hahahh haina haja ya kumpanga wala nini, wewe ondoka sisi turithi mali, na alivyokuwa mkali, tutauana mwaka huu!" alisema huku akinipiga piga begani. 

"sasa nikushangaze!"

"wewe tena, enhe, niambie!"

"usiku si nimeota nachinjwa mwenzio, harafu sababu kubwa ni kutembea na shangazi, mjomba alitufuma tunafanya mapenzi sebuleni, na yeye akaungana na sisi. Mimi si ndo nikaona kumbe mjomba amependa, hivyo nikajiamini, heeee kumbe ana lake bwana, ile najifuta baada ya kumaliza nastukia nimepigwa kichwani harafu nikazimia. Sijakaa sawa mara nachinjwa, hatari sana!"

"harafu unaamka unaambiwa uende huko huko ulikoota unachinjwa?"

"eti! "

"hahah ingekuwa mimi wala nisingeenda!"

"mimi sasa sina cha kufanya!"

"kwanza nenda, ukitangulia, tutamuhudumia shemeji, hahaha hainaga ushemeji tunakulaaaaa.... Hainaga ushemeji tunakulaaaaagaaaaaa, na mimi napitaaaa uhuuuuu!" alisema Thomas huku akicheza cheza. 

"nitakuua!"

"haha wewe uliona wapi maiti inaua, hebu tuachane na hayo, unakuja saa ngapi?"

"sijajua bado, ingekuwa mimi ndiye niliyekuwa na maamuzi, basi hata asubuhi, ila si unajua mtoto wa kike mambo mengi sana, hiyo ndo shida!" 

"sawa, wewe asubuhi njoo uchukue funguo, ila zingatia usafi bwana!"

"usijali kaka!"

"okay!"

"sasa ngoja mimi niende nyumbani, nitakucheki jioni, manake mzee yupo leo, inabidi nikae karibu karibu, si unajua fuata nyuki ule asali! "

"hamna shida!"

Nilimuaga Thomas na kurudi nyumbani.

                        ***

Siku ya pili niliamka saa moja na kuishika simu yangu.  Nilimpigia Asha ili nijue atakuja saa ngapu. 

"halooooo!" ilisikika sauti upande wa pili, alikuwa asha. 

"umeamkaje?"

"sijambo sijui wewe?"

"nimeamka salama, vipi utakuja saa ngapi?"

"hata sijajua bado!"

"hujajua, acha utoto wewe!" 

"aaah jamani, basi nitakuja saa sita!"

"Njoo saa nne!"

"heeeeh saa nne?"

"ndio!" 

"chai je?"

"tatizo lako nini, wewe njoo nitajua mimi!"

"na nikija unanipeleka wapi?"

"nyumbani! "

"akhaaaa,  nyumbani kwenu naogopa mie!"

"basi wewe usijali, njoo nitajua mimi, sawa!"

"sawa, ila nyumbani kwenu sitaki....!"

"sawa, ila na wewe usichelewe kuja!"

"sawa!"

Nilikata simu na kutoka nje kwa ajili ya kunywa chai. Nilipomaliza kunywa, nilienda mpaka kwa Thomas ili kuchukua funguo za chumba chake ambacho ningekitumia kwa siku hiyo. Nilipofika pale, sikumkuta, chumba kilikuwa kimefungwa. Nilimfuata mpangaji mmoja ili nimuulize kuhusu Thomas. 

"habari yako dada?"

"nzuri tu, mzima wewe?"

"mimi mzima, vipi huyu Tom, ameenda wapi?"

"sijajua, nimemuona tu anatoka asubuhi, ila sijajua kama kaenda wapi!"

"dah!" nilisema huku nikishika kidevu changu

"vipi tena Abdam?" yule dada aliniuliza hali iliyonifanya nishangae

"heeh unanijua?" nilimuuliza

"ndio, kwani vibaya?"

"hapana, je una namba zake?" 

"ndio, ngoja nikupe!" alisema yule dada na kuingia ndani kisha akarudi na simu yake. Alinitajia namba kisha nikaziingiza kwenye simu yangu na kumpigia Thomas. Simu iliita bila ya kupokelewa. Baadae iliita nikaambiwa inatumika. 

"sahamani, simu unayopiga haipatikani mwaka huu!" yalikuwa ni maneno niliyoyasikia baada ya kuendelea kupiga simu kwa muda mrefu. 

"dah, ina maana ameamua kunizimia simu, dah!" wakati nasikitika, simu yang iliingia meseji, nikajua labda Tom atakuwa amenitumia

"baby, mie ndo nipo kwenye gari hapa, tunakaribia kufika" 

"dah!" nilizidi kuchanganyikiwa mara baada ya kupokea meseji hiyo. 

"pole sana kaka angu, abdam, najua kinachokutatiza, ila mie nilimsikia Tom akisema tangu jana kuwa anataka kuwakomesha, ila usijali!" alisema yule dada huku akinishika begani. 

"mmmmh!" niliguna

"mimi nitakusaidia, ila kwa masharti!"

Je ni masharti gani hayo? 

Usikose sehemu inayofuata kwa majibu ya swali hili. 

Toa ushauri na maoni yako. 

ANGALIZO- Yule uliyenae ndiye atakufanya uwe na kibamia au tango, usiongeze maumbile ni hatari kwa afya yako.

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget